Naomba siku moja akimbie akiwa anatoka kwenye helkopta na kwenda jukwaani hapo na hamia huko aliko..hahahahahaha.... vinginevyo hivyo ni vipande vya maigizo kati ya vipande vingine alivyocheza tangu alipoanza pilka pilka hizi. tukutane mwisho movie ikitoka actober 30 au november mwanzoni.
Mkuu tunaomba update baada mwaka tuone wanaendeleaje ili tujifunze kupitia wao...[QUOTE=Swts;7441007]Asalaaam Aleykum... Praise the Lord!
Likija suala la kupata mwenzi wa maisha aisee haijalishi mtakutana wapi! as long as you have faith in God and you real know what you want, beleive it or...
Mdau ulivyokurupuka????????? au yalishakukuta? maana mleta mada kaeleza tofauti kabisa, mi na shaka na uelewa wako kwanza kabla ya mtoa mada, istoshe kufunga ndoa tu ni hatua nzuri sana, so kama watadumu au hawatadumu hilo ni swala lingine;
Duh... Una ushahidi au ndo zenu waswahili ooh.. yule demu malaya ukiulizwa umemmega.? unaanza oooh c una mcheki mambo yake... Longolongo tupe ushahidi kiongozi..
Sina uhakika na mila na desturi hizo ila kuna uhusiano wa jambo kama hilo, kuwa katika dini ya kiislamu endapo mume umauti utamfika ili hali uume ukiwa umesimama basi mke atawajibika kufanya tendo la ndoa na mumewe hadi uume huo utakapo sinyaa na logic hapo ni kuwa huenda kwa kufanya hivyo mbegu...
Siasa ni kipaji na kama huna kipaji cha siasa matokeo yake ndo kama haya, Mbunge mzima unashindwa kutumia muda wako kwa manufaa ya Taifa lako una baki kutoa maneno ya kashfa na upuuzi mtupu hii ni aibu kwa Kigwangala na CCM kwa ujumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.