excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
mh nakupongeza mkuu sio rahis kwa ulichokifany nadhan kuna malaika anakulinda co cri me cjui kama ningechomoka hapo
mmmhhhh! wacha kwanza nipate togwa bariiiidi! then ntakuja!
mh nakupongeza mkuu sio rahis kwa ulichokifany nadhan kuna malaika anakulinda co cri me cjui kama ningechomoka hapo
Mentor kweli wewe ni kiboko. Kulala kitanda kimoja na demu wako bila kumgegeda kwakuwa tu unalazimika kutumia zana si jambo jepesi kwahiyo unastahili pongezi.
Wanawake wa mjini hasa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu sijawahi kuwaamini kabisa katika mambo ya mahusiano. Yaani unamkuta demu anaonekana mpole na muungwana sana kwa vupimo vya macho lakini ukweli ni kwamba wana uwezo mkubwa sana wa kuhandle lundo la wanaume bila kustukiwa!
Hiyo morning after pills vimeandikwa hivo, alaf kweli vinakaa 2 .huyo dada nahisi alivizoea sana ndio mana havikufanya kazi mi naviamini paka basi sababu mi na mpenzi tunaenda kav tu tumeshajua afya zetu siku nyingine sitaki kumchosha kumwaga nje.
halafu hivi vijidonge ni salama kwa afya za watumiaji kweli??
mh nakupongeza mkuu sio rahis kwa ulichokifany nadhan kuna malaika anakulinda co cri me cjui kama ningechomoka hapo
Mkuu Mapi kuna Vidonge vya Hospitalini visivyo kuwa na madhara kwa Binadamu? Kila Vidonge Vina Madhara yake Makuu hebu soma hapa chini Madhara ya hivi Vidonge vya POSTINOR 2halafu hivi vijidonge ni salama kwa afya za watumiaji kweli??
Mkuu Mentor Angalia Madhara ya hivi vidongeMkuuu Mwita Maranya,
tangu siku hiyo mimi na wanafunzi ilikuwa mwiko. Kwanza wanacost nyingi balaa. Ila pia hata kumuamini mwanamke yeyote tu nayo imekuwa tatizo...na umri unasonga mkuu!
Ahaha mkeyamasai, mkuu hapo juu amesema kuna 98% chance ya kufanya kazi, kuwa mwangalifu msijekuwa katika hiyo 2%.
Hapo BOLD..aisee ni kweli inachosha aisee......duh!!!! #experience
[FONT=century gothic [USER=38927]Mapi[/USER], labda tuwaulize madokta wa humu; MziziMkavu na Riwa[/FONT]
Mkuu alitu8 ni zaidi ya malaika nakuambia..sijui ilikuwaje nikagoma! Ila nadhani ilikuwa katika hofu ya magonjwa zaidi ya mimba..si unajua distance nayo.
Asante sana mkuu MziziMkavu. Hii knowledge hata the self proclaimed dr. watu8 sidhani kama alikuwa akiifahamu..just wow! thanks sana mkuu.
Mi huwa napenda story zakoAti!?? Hujasome mkuu Nyani Ngabu
Mwenzangu hakujua...Ila nimepatwa wasiwasi jinsi gani nilikuwa niingie mkenge!! Ungekuta mdogo wako sasa hivi namlelea Kabezi mwanaye. Hata sikumuuliza kama Mshikaji anajua ana mtoto!
Mentor nipo kukusikiliza...nikiwa offline kuna mai waifu to be mimisa (niliyeidhinishiwa na neggirl) atakujibu.
@kiwa, karibu tena...
@maliwato, thanks, nahisi aliweka vipakiti vingi kwenye kiboksi kimoja.
Cases za kufeli hizi contraceptive methods nimeshazisikia nyingi...nadhani na hii ni katika hizo 2% though I must acknowledge ulichokisema, "vinafanya kazi asilimia 98 ikiwa umemeza kwa muda unaotakiwa." Na mwenye masikio na asikie.
@himidini hadi mimi umenifumba mkuu!
Soma ki-episode mkuu hekimatele, u might learn something.
[SIZE=3 [B]Mimi[/B]49 na mimisa hebu kujeni huku chini mseme neno...[/SIZE]
Yule ni Kabezi au YAHAYA?
Ubarikiwe mleta uzi
Vitu vingi sana nimejifunza katika huu uzi Thanks mkuu Mentor
Mi huwa napenda story zako
Hizo zilisha feli mara mbili kwa demu niliyekuwa naye matokeo yake sitamani hata kuyakumbuka.......cheki hii link Banned Commercial - Condoms - YouTube
Kwahiyo mkuu Real Deal unaitwa baba nani siku hizi...!??
Mkuu we acha tuu, ningepnda kukutajia majina bahati mbaya humu tuko anonymous, tutakapoonana nitakuambia
Hii kitu imenifanya nisiwaamini kabisa wanawake na dawa zao hizo, kitu cha uhakika ni raba tuu, na kama demu ana kuja kwangu lazima aje nazo mwenyewe. Kavu hata iwe tamu kiasi gani ni ng'ooooItakua alikosea mda wa kumeza huyo mana wengi ninawajua hua watumiaji wenzangu na hawajawah kunasa