Wabongo kweli ni mazwazwa! sasa kitu gani hapo kisichoeleweka alichokiongea mtoa mada? Mimi nilipokuwa shule ya msingi, mwalimu wangu aliwahi kusema "Tunatafuta elimu ili baadaye iweze kutusaidia kuishi na kutumia mazingira yanayotuzunguka kujipatia maendeleo yetu binafsi na jamii kwa ujumla"...
Ndugu zangu. Kwanza Mungu awabariki. Kuna ndugu yangu ameanza mahusiano na binti mwanasheria miezi kadhaa iliyopita. Kuna tetesi kwamba hawa viumbe huwa ni wakorofi na huwa hawataki kushindwa. Kuna mtu anayeweza kuthibitisha hili? Na tabia gani nyingine wanazo? Jamaa yangu anataka kujua.
Ndugu zangu. Kwanza Mungu awabariki. Kuna ndugu yangu ameanza mahusiano na binti mwanasheria miezi kadhaa iliyopita. Kuna tetesi kwamba hawa viumbe huwa ni wakorofi na huwa hawataki kushindwa. Kuna mtu anayeweza kuthibitisha hili? Na tabia gani nyingine wanazo? Jamaa yangu anataka kujua.
Meli sidhani kama ina usajili wa Tanzania. Kama haina, basi ni kikundi cha watu wachache wameamua kuichafua Tanzania. Haiwezekani ndani ya muda mchache tu kunakuwa na mlolongo wa matukio ya namna hii. Najiuliza, Je tunaelekea kwenye kuwekewa vikwazo? nani yupo nyuma ya hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.