Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akiwa kwenye foleni ya barabara wakati alipokuwa akiendesha gari mapema leo katika viunga vya jiji la Nairobi.
Rais Kenyatta amekuwa akijipambanua kuwa yeye ni Kiongozi asiyehofu kuishi kama mwananchi wa kawaida wa Kenya.
Chanzo: Swahilitimes
Rais Kenyatta amekuwa akijipambanua kuwa yeye ni Kiongozi asiyehofu kuishi kama mwananchi wa kawaida wa Kenya.
Chanzo: Swahilitimes