Ndugu Pascal Mayalla ukizitoa kofia zako nyingine kama mwanasheria na muandishi wa habari . Unafikiri kwa ombi lako hili utakua salama ukiwa na kofia ya kijani?
Ila kama TISS inaajiri vilaza kama kina Buyobe kazi ipo . Kumnyakua mtu mpo mji mmoja namba unayo unapitia njia za kizamani kama hizo . Unaweza kuhonga zaidi ya 200m tsh kwa polisi unashindwa kununua vitendea kazi huko black market ukanyakua watu wako kimya kimya
Ni biashara nzuri sana kwa wenye nyumba . Hukosi kuanzia 1m -2m kwa mwezi kwa nyumba ambayo ungemkodishia mtu kwa 300k mpaka 500k kwa mwezi plus nyumba haichakai kabisa. Ukiwa na namba za malaya wale wenye majina majina nyumba inakua full booked weekend zote hata miezi 6 mbele
Ni aibu kwa Sasa Mimi/baadhi ya wana CCM kusimama mbele ya watu wenye utimamu wa akili na kujitanabaisha kua ni mwanachama wa chama hiki.
Chama kimetekwa na WAPUMBAVU na kimesimika UPUMBAVU kama nembo kuu ya utambulisho wa Chama . Waimba mapambio ya kusifu ndio umekua mtaji wa viongozi MAJUHA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.