Recent content by shokolo kobangashee

  1. S

    Nani kamfukuza Rais wetu Dar?

    KAFANYENI KAZI ITAWASAIDIA KUONGEZA KIPATO JAMANI DUH!
  2. S

    Nani kamfukuza Rais wetu Dar?

    AMEJIPANGA HUYO NI MZEE WA MAAMUZI
  3. S

    Nani kamfukuza Rais wetu Dar?

    N WEWE NI KILAZA TU, MPANGO HUO UMEKUWEPO SIKU NYINGI TU NI MAAMUZI TU, KAMA NI HELA IPO YA KUTOSHA HATA TUME YA UCHAGUZI WALIRUDISHA CHANGE AMBAYO BADO HAIJAFANYA KAZI NA MAENEO MENGINE, PIA BADO WANAWEZA KUTUMIA HELA NA IKALIPWA NA BUDGET IJAYO, KUPANGA NI KUCHAGUA.
  4. S

    Natabiri kusitishwa kwa muda uamuzi wa Waziri Mkuu kuhamia Dodoma ifikapo mwezi September mwaka huu

    AMESEMA WAZIRI MKUU PEKE YAKE NYUMBA YAKE ITAKAMILIKA SEPTEMBER ILI AHAMIE, HALAFU WENGINE WATAFUATA... JPM YEYE KASEMA KWA KIPINDI CHA MIAKA 4 NA MIEZI MI4 ILIYOBAKIA AYAJITAHIDI SERIKALI IWE IMEHAMIA DODOMA....muwe mnasikiliza vizuri hotuba na matamko.
  5. S

    Unaelewa nini juu ya kauli hii ya Mzee Makamba

    CHA MSINGI KUACHANA NA UMBEA!
  6. S

    Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

    Dr. Slaa alishapewa taasisi siku nyingi - yeye ni raisi wa CCRBT
  7. S

    Kikwete: Haikuwa rahisi kumshawishi Magufuli kuwa Mwenyekiti wa CCM

    waongo muwe mnakumbuka uongo wenu msisahau
  8. S

    Mbatia: Rais Magufuli si msafi

    UUZWAJI WA NYUMBA ILIKUA NI SERA YA WAKATI HUO, KWAHIYO ULITAKAJE? NA HIZO PESA ALIPELEKA WAPI ? JE ALIFUNGUA AKAUNT NJE YA NCHI AU? JE ALIPELEKA CHATO, AU ZIMEFANYA MAMBO KWA MAENDELEO YA NCHI YAKE?
  9. S

    Huyu Jamaa Aliyesimama Kushoto Kwa Rais Magufuli Ni Mlinzi?Je Yuko Sahihi Kwa Akifanyacho?

    picha inaonanesha yuko karibu lakini hayuko karibu yuko nyuma kabisa, na wala siyo mtu wa usalama.
  10. S

    Lowassa, Sumaye wametumwa, Mbowe ni adui wa mabadiliko

    nipeni CV ya mbowe kwanza ili tuwalinganishe bana, ah!
  11. S

    Hivi hii kampeni nzito ya madawati haiwahusu UKAWA? Hawajachangia hata dawati moja

    kwani wewe hujui kama UKIWA ni watu wa kupinga kila kitu? kweli wameishiwa, maana JPM kabeba hoja zao na sasa ccm iko juu kinyama!!
  12. S

    Watalii (wageni) zaidi ya elfu nane wakatisha safari zao kutokana na kodi

    Ni kweli ndugu watanzania hali si shwari kwenye utalii kutokana na ongezeko la vat 18%, itakayoanza kutumika leo. Kimsingi wakala wa utalii hawajakataa kulipa kodi hiyo. Ieleweke kwamba wageni wengi hufanya booking miaka/mwaka mmoa kabla na wanalipa gharama zote halafu wao wanasubiri kuja...
  13. S

    Mahanga afunguka ukandamizaji wa demokrasia Awamu ya Tano

    VIPI HUYO MAHANGA HAJAHAMIA UKIWA TUU?
  14. S

    CHADEMA yapiga marufuku Mameya kuhudhuria mikutano ya viongozi

    Nawaombea waendelee kususia tuone kama watapata faida
Back
Top Bottom