Kuna mmoja yupo hosptali ya Rufaa katika jiji moja ivi aisee yule kaka ni handsome mnooo!!was thinking like akikutana na mwanamke anamwambia ukweli anafanya kazi wapi??🙆♀️🙆♀️🙆♀️
The moment nilipogundua inatangaza mambo ya ajabu nilihakikisha mtoto wangu haiangalii mpaka na yeye amezoea ikianza tu anasema hii baya toa soo siiangalii kabisa.
Hiyo sasa ni ya bei???imagine mtu anavishwa pete ya white gold ina jiwe la kutosha la Tanzanite na vinakshi vya diamond!!kuna watu wamevishwa bei za Passo sembuse hiyo...!!
Kwa wakati huu kuna njia nyingi sana tena nzuri za kuhifadhi maziwa ya mama kwa kuhakikisha mama anakamua maziwa yake kwa kifaa maalumu(maana kwa mkono anaweza kuchoka) na kisha kuyahifadhi katika chupa maalumu za maziwa ya mtoto na kuyaweka kwenye fridge hasa freezer ili mtoto apewe mama...
Ndugu kila siku wewe ufanyage tu B na C mwenzio yeye afanye B tu kila siku nenda rudi?????lazima utachoka tuu sie ni binadamu na tuna roho na nyama mbaya zaidi maumivu utafika muda utakua NUMB huumii tena ikifika hapa trust me hutakumbuka kufanya B wala cha C utafanya D na kuendelea...!!!
German energy secretary backs forest clearance to build coal mine
Thomas Bareiß says use of polluting fuel at RWE plant is needed to keep the lights on
Adam Vaughan
@adamvaughan_uk
Mon 1 Oct 2018 11.45 EDT Last modified on Tue 2 Oct 2018 07.01 EDT
This article is over 3 months old...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.