Hivi kweli una roho wewe
Hujui hata wameuawa kwa sababu gani na hiyo report ya kipindi gani unaanza kushabikia mambo ya ovyo
Kama unahasira sana si ujinyonge ufe badala ya mawazo yako utuvishe na sisi tunaotamani amani
Hakuna hata siku moja moshi wamefanya maandamano katika harakati zao
Wamekuwa wakitumia wananchi maskini wa mikoa mingine kufanikisha mambo yao
Waandamane huko kwao tu
Hii habari imeandaliwa na sekeretari au umoja
Mtoa taarifa kamiliaha barua yako kwa jina muhuli pamoja na walioshiriki vinginevyo ni habari ya kuandaliwa na sekretari
Nashukuru kwa uchambuzi wako ambao umejikita kuleta nyufa kwenye taiga japo baadhi ni sahihi lakini naomba na mimi nichangie
Kwanza najiukiza kila mara hii dhana ya kuwa mikoa ya Arusha na mingine kwanini inaitwa kanda ya kaskazini wakati ramani ya Tanzania inaonyesha wazi kuwa mikoa ya mwambao...
Watueleze kabla ya hapo
bandari mapato yalikuwaje na sasa yakoje
Kuna nchi ni landrocked na kiuchumi ziko vizuri kama kuna mgomo wa kupitishia kwetu kwa sababu ya kukwepa kodi ni heri wakaacha
Msikilize vizuri utamwelewa
Kasisitiza mara tatu hivi nyie watani zangu zaeni nitawasomesha. He was making jokes to his joke counterpart but you are taking as a stand. Think why did he say at mwanza or Geita
Make analysis before reaching to conclusion that is why you have big brain than...
Ulitaka nani alipe kodi. Popote pale maendeleo huletwa kwa wananchi wake kulipa kodi
Tulips kodi ili Barbara nzuri zijengwe Huduma za jamii ziboreshwe hata kama lingechaguliwa jiwe ilimradi lingetengeneza serikali lazima kodi ingelipwa tu
Unaowasema wanyonge wala hawana bank hata hizo pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.