Fadhili Paulo; Usikimbie, kuwa na amani tu kesho utakuja vema.
Kuweka hizo details is not an issue, kwa sasa haina mashiko kwakua aliyekua anasuasua kwenye mapatano amekubali chombo kwa bei tuliyopatana.
Utovu wa nidhamu unakuja vp! Mtu unamuheshimu sana nayeye anajua, yani kitendo cha kuhesabu pesa mbele yake ndo uwe mtovu wa nidhamu? Kwanini ujiskie vibaya? Kwan si nataka tu kujua ni kiasi gani, sababu hasa ya kujiskia vibaya ni ipi?
Smile; Unadhani atakuwekea magazeti au? Huna haya? Sio fresh
Haya kivipi? Si bora uhesabu hapo kama kuna mapungufu uongee kuliko kunung'unika mbele ya safari?
Habari zenu wanajamvi,
Naombeni mnijuze kwa mitizamo yenu, kuna tatizo gani mpenzi wako akikupa pesa nawe ukaihesabu hapohapo kujua ni kiasi gani, nimekua nikiona wengi sana sana wadada yaani akipewa tu yeye anaihifadhi halafu anaenda kuhesabia mbele baada ya kuachana na aliyempa. Kwani kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.