Recent content by shingoround

  1. S

    Nimedukua mawasiliano ya mke wangu kwa WhatsApp code, aisee anapanga makubwa kunisaliti nitakaposafiri

    Kabla ya safari kaa nae mweleze kwa upole kabisa kama umegundua huo mchezo na akibisha muoneshe sms kama ushahidi, hii itakuwa ni sababu ya kuacha alichokuwa anafikiria kufanya kama ana khofu na mungu na anaipenda ndoa yake.
  2. S

    Ijue first class mistake inayofanywa na wadada katika kumchagua wa kumpa papuchi yake

    Ni sawa kabisa, kama ilivyo na upande wa pili (wanaume) unaweza ukampenda mwanaume mapenzi ya dhati lkn akazingua sababu hajavuliwa nguo wanaume walio wengi wanadhani kuvuliwa nguo ndio kupendwa sivyo kabisa.
  3. S

    Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

    Hv vitu vipo sana kuna vile huitwa vikanga hospital hawavijui huwa vinakatwa uswaz km kimeo
  4. S

    Nimeathirika kisaikojia nimefikisha miaka 42 sasa bado nashindwa kuoa. Kila napowaza naghairi

    Zinaaa ni deni lazima ulipe kwa vyovyote vile, umezin na wake za watu na mabint za watu jua na ww utalipa hlo deni iwe kwa mkeo au bintiyo lazima kwenye kizazi chako watu wakuziniye.
  5. S

    Msaada, nimueleze kaka juu ya tabia hii ya mkewe?

    Kama huwezi kumueleza tumia busara za wazee wao watamfikishia ujumbe bila shida na udugu wenu ukaendelea, ukichelea kusema subiri kufumwa hapo ndio utajua.
Back
Top Bottom