Katika mapenzi hiki ndicho kinachouma!

Kukutana na yule uliyemuacha kwa mbwembwe nyingi akiwa anameremeta "ameshine" mara elfu zaidi ya ulivyokuwa nae(Yaani wewe ni kama ulikuwa unamzeesha tu) Halafu wewe umefwafwanzika!
Yamemenikuta
Omba yasikukute!

Mkuu, pole naelewa sana hii situation sikia tu kwa mwenzako omba sana kwako yasikukute aisee...
Yaan ukikutana na Huyo EX wako harafu wewe umeparara na yeye ana meremeta Maumivu yake ni sawa na Mwanamke anaezaa watoto 10 at the same time
 
Ukitaka kumuacha mwenza
Wako jifkirie kwanza mara 22
Kabla yakufanya maamuz ya
Kusema tuachane hii
Kauli hua inawaliza wengi
Aiseee

Moja wao n mm aiseee
Estah nakusalim ukiwa
Udom mji mpya
 
Back
Top Bottom