Recent content by Shine_shein

  1. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

    nimeipenda hiii sana
  2. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Msaada jamani: Nifanye nini ili niwe naongea English kwa ufasaha

    kama kuandika na kusoma kingereza haikupishida nikushauri tu sasa anza mazoez ya kuongea lugha hiyo ya kingereza bila woga ama hofu ukifanya hvo itakusaidia na ni rahisi tu ikiwa hutaona aibu na ukajiamini
  3. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Falsafa ya " MPUMBAVU " ni nzuri japo matukio yake ni out of date

    hamnazo wewe hata kufikiri kumekushinda
  4. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Lowassa kabla ya kujiuzulu uwaziri mkuu

    mmmh sijui hakimu atafanyeje hapo maana n hatar
  5. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Yaahidiwa Fedha na Wanaharakati (Marekani): Masharti ya Fedha Yanatisha!

    kojoa ukalale tena mwambie mama asisahau kukufunga pampas eeeh wewe mtt mzur mrembo
  6. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Serikali ya China yamzawadia prof Muhongo nafasi 22 za udhamini kila mwaka

    wewe hujielewi kabisaa ungekuwa mtoto wa baba ningemwambia baba akubalishe na midori ya kichina
  7. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    lisu yupo vizur leo bunge litamuelewa tu anasema hakati tamaaa hata kama akibaki peke yake daaah! asnt saana tundu
  8. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Karibu Kinondoni Paul Makonda kwenye Ngome ya CHADEMA

    mmmh nishiidah hata wewe makondaaaaaaaaa!!!!!!!!!! mbona hata sifa zako hazisomekii daah
  9. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Kama kijana hujaaajiriwa pita hapa

    0713909338
  10. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Lissu na maneno yake makali bungeni, Lema na maneno yake makali mitaani

    jina lako tu nishiiiiiiiidaaaah
  11. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Mdahalo wa Katiba Ubungo Plaza 16/11/2014, mtoa mada mkuu Jaji Warioba

    mzee wetu tupe yako sisi vijana wenye fahamu na akili alizotujaalia mwenyezi Mungu tunaamini bado tuna mengi ya kujifunza kwako hasa ikizingatiwa kuwa wewe ulikuwepo wakati ule mkiisaka hii nchi kutoka mikononi mwa kaburu kifupi mimi nakuheshmu sn na najua vjana wengne wenye ufaham unaoishi...
  12. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015 Lowassa chukua tahadhari zote

    yaan kwa mwendo huu na watu wenye kubebabeba mambo juu juu tz tutasubiri sn kufika maana tumekuwa washabiki wa mambo hata ya msingi tumefanya ushabiki huku fahamu zetu zikilala fofofo binafsi sion kama Twaweza wana nafasi yoyote ya kunipatia kiongoz kwa kuwa mwenye uwezo wa kujua kama lowasa...
  13. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Nimepata fursa njooni tufanye kazi pamoja

    kaka hongera sna and nakupongeza sana huo ndo utanzania wa kweli yaan big up sana hii ni bonge la fursa hasa kwa kipind hiki cha vijana weng kutokuwa na ajira in short kaka wewe fanya yako cos co wote watakuelewa ndo maana u naona kuna wengine wanakujib upuuz....asante sn sn umetupa fursa kaz kwetu
  14. Shine_shein

    JamiiForums Tanzania Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

    nakukumbusha kuzingatia jamii forum rules ama kanuni PLS :baby:
Back
Top Bottom