Recent content by shims allis

  1. S

    Clouds FM acheni Utoto

    Wanabahatisha mambo tu!
  2. S

    wew wasemaje?

    Kinyume chake is True
  3. S

    Ikulu ya Tanzania ihamishiwe USA mpaka 2015 kuokoa gharama

    Kwanini mtu akitoa mada ya msingi kuna mambumbu wanakimbilia kusema CDM,kumbe ni kweli CDM ni watoa mada za msingi? Kwa sababu mtoa mada hakua anazungumzia chama fulani,alikuwa anamzungumzia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania eti. Lazima tuongee anapokuwa na safari nyngi za kwenda...
  4. S

    Kipindi cha bibi bomba kinadhalilisha bibi zetu

    Mi mpaka naona aibu kuangalia maana udhalilishaji ule
  5. S

    Tengeneza zaidi ya mil. 8 kwa dili hii

    shamba lipo tambalare.
  6. S

    Tengeneza zaidi ya mil. 8 kwa dili hii

    Ni kweli kwa kawaida ni asilimia kumi,lakini kutokana na mpangilo wa uuzaji,atakayekuwa tayari na hiyo iliyopo ashughulike.
  7. S

    Tengeneza zaidi ya mil. 8 kwa dili hii

    Shamba lipo bungu,njia ya kwenda nyamisati( abt 2km kutoka kilwa road)
  8. S

    Tengeneza zaidi ya mil. 8 kwa dili hii

    Shamba la ekari 110 linauzwa, kwa bei ya Tsh. 230,000,000 mwenye uwezo wa kulinunua. Kwa yeyote atakayempata mteja kuna asilimia 5%( zaidi ya mil. 10) ya bei hiyo iliyotajwa. Contact 0768 401918 0714 277275
Back
Top Bottom