Hawa samaki wapo!!! Hakuna cha majini wala nduguze majini.Wanaishi kama binadamu kwenye maji na wanapatikana kwenye maji ya baridi namaanisha huko Ulaya ni wengi.
Kama mnataka kwenda kuvua twendeni
Chadema mwendo mdundo hii ilibidi itokee ili kiendelee kudumu sasa mwenye kujiona nabii ndiye mshamba mkubwa wa siasa subirini muone mazuri yajayo kwani tumegundua janja ya magamba ndiyo maana yanawashwa kwa pilipili ambazo hayajala! Tulianza na mungu.....malizieni magamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.