Kama lengo ni kupunguza idadi ya watu sa wao watapataje faida wakati wao wanatengeza bidhaa na service kwa ajili ya masoko na watu ndo masoko,Elon ana project nyingi zinazotegemea watu e.g magar,hyperloop project,space x nk. hizo zote zinahitaji watu ili wapate faida.chanjo haina madhara...