Kama lengo ni kupunguza idadi ya watu sa wao watapataje faida wakati wao wanatengeza bidhaa na service kwa ajili ya masoko na watu ndo masoko,Elon ana project nyingi zinazotegemea watu e.g magar,hyperloop project,space x nk. hizo zote zinahitaji watu ili wapate faida.chanjo haina madhara...
Unahitaji kuwa na ubongo ili kujua kama Sabaya alikuwa ni mhalifu wa aina gani,na haishangazi hata kama waliozomea ni wafuasi wa Chama fulan kwa kuwa hata wakati anawafanyia uhalifu aliangalia itikadi ya vyama pia. huyo ni binadamu ambae hafai kuwepo katika jamii!!
Kwanza unatakiwa kujua historia ya Israeli na waisrael halis ni wapi,hao waliookotezwa kutoka pembe za Dunia sio waisrael halis hao ni wazungu waliopelekwa tu pale ili wajulikane kwamba ni waisrael,wao halisi ni wale waliopo Ethiopia,pia Waisrael %kubwa hawaamini katika Mungu,% ndogo waislam na...
Hakuna mwenye afadhali katika hao wote wapo kwa maslah yao,Marekani wameua watu wengi zaidi Duniani kuliko hao Urusi na China,Dunia leo hii imekuwa sio salama kwa sababu ya Marekani kuanzia Uarabuni,Asia mpaka Afrika.
Usijitoe ufaham wakati unajua nini kilikuwa kinafanyika kipindi marehemu akiwa rais,Mbowe alikuwa anaumizwa kisiasa sa utamfananisha Mbowe na Mo hao wanaposition tofauti. nadhan hakukuwa na tofauti na kikundi cha Mafia cha Italy enzi hizo,ulikuwa unafanyika Ugaidi wa hali ya juu kuwajengea watu...
Hivi wanyonge ni watu wa aina gani na je ni sifa kuwa mnyonge? kwa mimi mnyonge ni mtu dhaifu, dhalili,hajiwez kabisa maskini elimu duni anakula kwa kubangaiza, na ukimpa chakula kidogo atakusifu bila kujali kwamba labda matatizo aliyonayo we ndo sababu na wala huna nia ya dhati ya kumtoa kwenye...
Ndo maana kuna kuwa na mipango miji na inaonyesha wapi masoko,stand za mabus,viwanja vya ndege nk,kama stand inakuwa humohumo soko inakuwa haina maana zaid ya uchafu na kero, kama tunawajal wamachinga tungewajengea sehem yao hapo pemben ya stand kama tunaona kuna umuhimu wa kufanya hivyo,dunia...
Me sidhani kama ni sahihi sana mpaka sasahivi kulaumu athari za ukoloni au ukoloni mamboleo,, kama tunatambua ukoloni na ukoloni mambo leo basi tunajielewa kwa nini tuendelee kulaumu na kushindwa kufanya mambo yetu ikiwepo kufanya tafiti na chanjo mbalimbali? Tusipokuwa na mifumo ya elimu...
Kwan sisi watu weusi tumezuiwa kutengeneza chanjo? au cc hatuna akili tu? kwan chanjo nyingine kama ndui na polio tumetengeneza sisi? kwanini chanjo za malaria tusitengeneze wenyewe kama tuna uwezo!? Tulichokosa sisi ni kutengeneza mfumo wetu wa elimu kwa manufaa yetu na ndo maana kila siku...
Hao China wenyewe wakisikia wazungu wanaweka vikwazo huwa wanakuwa wadogo,issue ya vikwazo siyo ya kipolepole tujitafakar tunakosea wapi kama Taifa,sasahv tunawekwa kundi moja na kina Somalia,Zimbabwe na Uganda why!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.