DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,529
- 43,988
Rais wangu n mama Samia ..Mwambie rais wako afe watafika elfu2๐๐๐๐
Maandamano tuu mlijificha uvunguni๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wangu n mama Samia ..Mwambie rais wako afe watafika elfu2๐๐๐๐
Maandamano tuu mlijificha uvunguni๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
watoto wetu wanasoma shule bure,wake wetu hawajifungulie kwenye sakafu kama zamani,rushwa za kijingajinga zilipungua sana, mengi sana katufanyia sisi wanyongeWanyonge wamefaidika vipi na utawala wa Magufuli.?
Tueleze kwa kina
Ukishatoka kwa mpalange akili zako huhamia huko huko.Kufa na wewe utupunguzie roho zinazoonea wivu walio hai hadi marehemu
Wewe mwanaume uliyeamua kuwa choga ndio unapeleka wenzio kwa mpalange wako. Umeharibika sana ujue๐ค๐คUkishatoka kwa mpalange akili zako huhamia huko huko.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mods Moderator naomba msiunganishe huu uzi๐
Tumshukuru sana Mungu kwa zawadi ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa nchi yetu. Ametutoa pagumu sana, ametuthubitishia yaliyoambiwa hayawezekani yanawezekana kwa vitendo
Ametuachia viongozi makini aliowapika kuwa wazalendo kama yeye mwenyewe na ameacha wananchi wengi walio maskini wakiwa na cha kujivunia kwa nchi yao
Ameiheshimisha Tanzania duniani kote kwa kuondoa uhuru wa bendera na kurudisha misingi ya uhuru halisi
Ametuachia serikali makini chini ya aliyekua msaidizi wake makini Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
Ametuachia jamhuri ya muungano wa Tanzania iliyo imara, bunge imara, mahakama imara na jeshi imara.
Hotuba ya Samia siku ya kuapishwa waziri mkuu, waziri wa fedha na waziri wa mambo ya nje. Hii ni baada ya Samia kuteiliwa na Magufuli kuwa makamu wa rais kwa mara ya pili. Samia alimhakikishia Rais amenyooka na kumshukuru sana. Aliahidi kufanya kazi na rais apumzike akifanya mambo makubwa
Hotuba ya rais Magufuli siku ya kuapishwa waziri mkuu, waziri wa fedha na waziri wa mambo ya nje.
๐๐๐
Pole tanzania yangu
Tumuombe Rais wetu Samia Suluhu Hassan aendeleze yale waliyoyaanza pamoja, na Mungu aendelee kumjaza hekma, ampe afya ya mwili, roho na akili katika kulitumikia taifa hili
Rest well our hero President John Pombe Magufuli ๐๐ญ๐
TANZIA - Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Mbeya wasikieni tuu, huwa hawamaanishi vitu vingi wanavyofanya, ukitaka kujua UKWELI wafuatilie baada ya hivyo vilio utacheka.www.jamiiforums.com
Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru
Baada ya Ibada ya kuuombea na kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli kufanyika katika kanisa la St Peters Jiji Dar es Salaam sasa ni muda wa uwanja wa Uhuru Dar Es Salaam. Wananchi wamekusanyika kwa wingi kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania WAKAZI WA DAR...www.jamiiforums.com
Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano
Salaam Wakuu, Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli. Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia. Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya...www.jamiiforums.com
Mapokezi ya Mwili wa John Pombe Magufuli: Wakazi wa Dodoma waizunguka Airport
Wakazi wa Dodoma wamejitokeza na kuizunguka Airport ya Jiji la dodoma wakisubiri kuona Mwili wa Mh Rais Magufuli ukishuka tayari kuagwa hapo kesho. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA! DODOMA NI MAKAO MAKUU YA CHAMA NA SERIKALI.HAWA NI WAKAZI WA DODOMA WAKISHIHUDIA SAFARI YA MWISHO YA Rais...www.jamiiforums.com
Imeshaisha hiyo. Roho imelaanika.Una wivu kaa wakewenza๐๐
Pumzika kwa/baada kazi ngumu JEMBE..View attachment 1735353
Mods Moderator naomba msiunganishe huu uzi๐
Tumshukuru sana Mungu kwa zawadi ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa nchi yetu. Ametutoa pagumu sana, ametuthubitishia yaliyoambiwa hayawezekani yanawezekana kwa vitendo
Ametuachia viongozi makini aliowapika kuwa wazalendo kama yeye mwenyewe na ameacha wananchi wengi walio maskini wakiwa na cha kujivunia kwa nchi yao
Ameiheshimisha Tanzania duniani kote kwa kuondoa uhuru wa bendera na kurudisha misingi ya uhuru halisi
Ametuachia serikali makini chini ya aliyekua msaidizi wake makini Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
Ametuachia jamhuri ya muungano wa Tanzania iliyo imara, bunge imara, mahakama imara na jeshi imara.
Hotuba ya Samia siku ya kuapishwa waziri mkuu, waziri wa fedha na waziri wa mambo ya nje. Hii ni baada ya Samia kuteiliwa na Magufuli kuwa makamu wa rais kwa mara ya pili. Samia alimhakikishia Rais amenyooka na kumshukuru sana. Aliahidi kufanya kazi na rais apumzike akifanya mambo makubwa
Hotuba ya rais Magufuli siku ya kuapishwa waziri mkuu, waziri wa fedha na waziri wa mambo ya nje.
๐๐๐
Pole tanzania yangu
Tumuombe Rais wetu Samia Suluhu Hassan aendeleze yale waliyoyaanza pamoja, na Mungu aendelee kumjaza hekma, ampe afya ya mwili, roho na akili katika kulitumikia taifa hili
Rest well our hero President John Pombe Magufuli ๐๐ญ๐
TANZIA - Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Mbeya wasikieni tuu, huwa hawamaanishi vitu vingi wanavyofanya, ukitaka kujua UKWELI wafuatilie baada ya hivyo vilio utacheka.www.jamiiforums.com
Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru
Baada ya Ibada ya kuuombea na kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli kufanyika katika kanisa la St Peters Jiji Dar es Salaam sasa ni muda wa uwanja wa Uhuru Dar Es Salaam. Wananchi wamekusanyika kwa wingi kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania WAKAZI WA DAR...www.jamiiforums.com
Habari mbaya: Uwanja wa Uhuru Dar, Watu 45 wapoteza maisha kutoka na msongamano
Salaam Wakuu, Kuna habari mbaya ya watu wengi kufariki wakati wakiaga mwili wa hayati Magufuli. Inadaiwa baadhi ya watu wamepelekwa Hospitali ya Temeke wengine wakiwa wamepoteza maisha na wengine kuzimia. Nmempigia Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke kumuuliza juu ya vifo hivi, baada ya...www.jamiiforums.com
Mapokezi ya Mwili wa John Pombe Magufuli: Wakazi wa Dodoma waizunguka Airport
Wakazi wa Dodoma wamejitokeza na kuizunguka Airport ya Jiji la dodoma wakisubiri kuona Mwili wa Mh Rais Magufuli ukishuka tayari kuagwa hapo kesho. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA! DODOMA NI MAKAO MAKUU YA CHAMA NA SERIKALI.HAWA NI WAKAZI WA DODOMA WAKISHIHUDIA SAFARI YA MWISHO YA Rais...www.jamiiforums.com
Hivi wanyonge ni watu wa aina gani na je ni sifa kuwa mnyonge? kwa mimi mnyonge ni mtu dhaifu, dhalili,hajiwez kabisa maskini elimu duni anakula kwa kubangaiza, na ukimpa chakula kidogo atakusifu bila kujali kwamba labda matatizo aliyonayo we ndo sababu na wala huna nia ya dhati ya kumtoa kwenye hali hiyo ili uendelee kummiliki na kumtumia.
Hatuna mpango wa kuboresha elimu kwa sababu wanyonge wataamka, hatuna mpango wa kuboresha mazungira mazur ya kilimo ambacho kitaleta tija mpaka kwenye viwanda kwa kuwa wanyonge tutawakosa! Mnyonge asipotandaza bidhaa zake chini akauza maana yake usku wake atalala njaa.Tusikubali unyonge kuwa sifa tuboreshe elimu yetu,kilimo na mazingira bora ya biashara ili tusiwe taifa la wanyonge,kwani unyonge siyo sifa nzuri.
watoto wetu wanasoma shule bure,wake wetu hawajifungulie kwenye sakafu kama zamani,rushwa za kijingajinga zilipungua sana, mengi sana katufanyia sisi wanyonge
Lala salama mwamba
Kiongozi wa watanzania na kimbilio la wanyonge
Alikomesha uonevu - wewe mzazi mwanao analawitiwa na ukifuatilia unawekwa ndani
Baada ya rais kujua ndio mlawiti anashughulikiwa
Asante mama D....Naunga mkono hojaModerator naomba msiunganishe huu uzi
Tate mkuu niache kwanza
Utaanza weweKamfateni alipo