Recent content by shikwashikwa

  1. shikwashikwa

    Amina na Kikwete

    Kizuri kula na mwenzio
  2. shikwashikwa

    Kuanzisha Shule ya Mahusiano

    Ni kweli uyasemayo? Shikwashikwa kwangu maana halisi ni kitendo cha kukamatwa kamatwa
  3. shikwashikwa

    Kuanzisha Shule ya Mahusiano

    Mimi ni me kwani vp
  4. shikwashikwa

    Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    Mapenzi ni vyote pesa na ufundi hiyo appointment tu ikipangwa lazima pesa ikateketee
  5. shikwashikwa

    Kuanzisha Shule ya Mahusiano

    Aah mkuu mada sio jina langu tujadili kilicho mbele yetu. Jina Lina histolia yake hilo Na halina maana kama unayoifikilia
  6. shikwashikwa

    Kuanzisha Shule ya Mahusiano

    Nani kasema ndoa yangu imenishinda? Ndoa yangu ipo imara sana mkuu
  7. shikwashikwa

    Kuanzisha Shule ya Mahusiano

    Habari zenu ndugu wajenzi wa amani, Ndio unapodhungumzia mapenzi unaijenga Amani kwa kanuni ile ile ya Upendo.Ndugu yenu nina wazo nadhani njaa hizi zimepelekea nikafikia kuwaza kuanzisha Chuo cha mafunzo ya ndoa. Najua kuna event huwa zinafanyika kwenye jamii yetu pindi watu wanapoamua kuwa...
  8. shikwashikwa

    Wanawake: Mazungumzo haya yanatukera wanaume

    Pole pole pole poleee huo ni mtizamo wake,na ni neno lake sio sheria eti tu itatubadilisha hata sisi tunaopenda kuulizwa kimahaba mahaba hayo maswali
  9. shikwashikwa

    Kuna ushauri wa tatizo kama hili?

    Duh..hatari unaandika lakini?
  10. shikwashikwa

    Natamani sasa kuona yale yanayoitwa maamuzi magumu

    Tuko vizuri kwenye kulalamika tena kulalama afu bado mnataka maamuzi magumu? Muache kulalamika na kulia lia tinga tinga likiingia mzigoni
  11. shikwashikwa

    Ntayapeleka wapi haya??

    Hatari sana
  12. shikwashikwa

    Samia Suluhu Hassan

    Hapa alistahili balozi Amina ila kurudia rudia kumtaja lowasa imekula kwake
  13. shikwashikwa

    Balozi Amina S. Ally Jilaumu Mwenyewe Ila Ulikuwa Ndiyo Uwe Mgombea Mwenza Ila Uli POPOKA Jana

    Hii na mimi nimeiona kuwa imemCost huwezi kudhungumzia mambo ya bar kwenye nyumba ya maAskofu laZima wakuengue tu
  14. shikwashikwa

    Mke wangu amekiri kunisaliti

    Mkeo=kwa shida na raha. Kukili kosa =ni kujutia kumbuka yeye si maraika. Samehe mumlee mwanenu
Back
Top Bottom