Habari, nimefanyiwa Tohara wiki na nusu sasa lkn doctor aliniambia nyuzi zitatoka zenyewe na uume utajirudi vizuri lkn hadi sasa nyuzi hazijatoka,
Je nyuzi hutoka baada ya mda gani na hutoka zenyewe tu?
Na naona uume umejikaza je nikipona uume utarudi fresh?
Msaada.
Habari,
Nimefanyiwa Tohara wiki na nusu sasa lakini doctor aliniambia nyuzi zitatoka zenyewe na uume utajirudi vizuri lakini hadi sasa nyuzi hazijatoka.
Je, nyuzi hutoka baada ya muda gani na hutoka zenyewe tu?
Na naona uume umejikaza je nikipona uume utarudi fresh?
Msaada.
Nimefanyiwa tohara siku nne zilizopita daktari akaniambia bandage utatoa kesho, lkn nyuzi usizitoe zitatoka zenyewe, lakini nimekuja kutoa bandage nikakuta vile ameshona kama amekaza sana nyama ameivuta sana hadi uume umekuwa mfupi.
Je, nikipona uume wangu utarudi urefu kama zamani?
Nimefanyiwa tohara siku nne zilizopita daktari akaniambia bandage utatoa kesho, lkn nyuzi usizitoe zitatoka zenyewe, lakini nimekuja kutoa bandage nikakuta vile ameshona kama amekaza sana nyama ameivuta sana hadi uume umekuwa mfupi.
Je, nikipona uume wangu utarudi urefu kama zamani?
Leo katika shughuri zangu nikaletewa barua na mkurugenzi wa Misungwi ikinitaka nilipe 50000 kwa ajili ya mwenge,nimejiuliza sana yaani nilipe
Leseni ya biashara,
Ushuru,
Kodi ya jengo,
Kodi ya kiwanja,
Takataka
Umeme
Maji
Halafu tena nilipie Mwenge kama ni wa kula.
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.