mheshimiwa JPM amejipambanua kuwa mtu mwenye uthubutu, asiyeogopa ku 'dili' na mambo magumu, tena ni mtu mwenye 'logic' ya hali ya juu, nadhani ni wakati umefika sasa mzee JPM uwatue watu wako huu mzigo wa ibada ya mwenge! usihofu kuhusu wahafidhina wa ndani ya chama kwa maana wamefunzwa kufuata fikra za mwenyekiti, ukiupumzisha mwenge hii leo kila mtu atakusifu kuanzia CCM hadi CDM, kwani hautaki sifa nzuri mheshimiwa wetu?
Ccm itakufa