Shikoloo.
Member
- Nov 16, 2015
- 29
- 18
Nimefanyiwa tohara siku nne zilizopita daktari akaniambia bandage utatoa kesho, lkn nyuzi usizitoe zitatoka zenyewe, lakini nimekuja kutoa bandage nikakuta vile ameshona kama amekaza sana nyama ameivuta sana hadi uume umekuwa mfupi.
Je, nikipona uume wangu utarudi urefu kama zamani?
Je, nikipona uume wangu utarudi urefu kama zamani?