So kama haya yote yupo nayo makini then it's OK to cheat on you?
Listen hakuna sababu yoyote ya kucheat kwa sababu anachokitafuta huko hata kwako anakipata na ndio maana mkaoana.
Zaidi ya hapo ni uzinzi na uzinzi ni dhambi.
Huwezi kubaki single forever lazima mwili utahitaji na utazini tena umesema umeokoka Soma Mathayo 5:32.
Ushauri wangu
Kwanza usaliti sio kitu kizuri kiMungu hata kibinadamu. Kaa na mwenzio na umueleze kuwa upuuzi anaofanya umeujua kemea hiyo tabia na bila shaka kama ni muungwana ataomba radhi...
Aloo wana utaratibu mbovu Sana hawa Nida binafsi nilijiandikisha September 2019 lakini cha kushangaza hadi leo Sina hata ile namba na zaidi nikiuliza sipewi majibu ya kilichosababisha nikose kupata namba kwa muda wote huo.
Hapa nimejiandaa litakalokuwa na liwe line nitasajili nyingine tu.
Sent...
Ukiangalia interview ya Lisa pale SnS na ya Mabeste pale Dozen Selection utagundua tatizo lipo wapi.
Ila Mabeste kapoteza mke mzuri Sana na anaweza asipate Tena mtu wa vile. Kitu kingine familia zinachangia Sana kwenye kuvunjika kwa ndoa nyingi Mf. Ndoa ya Mabeste na hata ndoa ya Stamina...
Wanawake hawajifunzi hutakiwi kumlipia mahari mwanaume wako kwenu hata iweje yaan maana mahari ni kipimo cha uwezo wake kwenye kutimiza wajibu mkiwa ndani.
Lakini yote kwa yote mahusiano yana Mambo mengi so ukweli wanaujua wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.