Recent content by Shezanempress

  1. Shezanempress

    JamiiForums Usiku wa manane

    04:23 usiku
  2. Shezanempress

    Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

    Kwa taarifa yako namjua mganga aliyemrudisha mo!
  3. Shezanempress

    Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

    Sikupendagi tu kwa misifa yako na kujipendekeza ovyo kwa wakubwa lakin hapa ngoja nikwambie hakina media tz ya kuikosoa serikali!
  4. Shezanempress

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Anayejua dawa ya mtu aliyepata ganzi upande mzima wa kulia, tatizo limeamzia kwenye mbavu za kulia ni kama zimefungwa uzi hlf zinavutwaaa kwahiyo mgonjwa anakua anakosa pumzi na hasa akichelewa kula pia maumivu yanakuja hadi kwenye mkono unakua kaa ganzi unauma utadhan umewekewa mto hata...
  5. Shezanempress

    Generali wa Kenya akimbia uwanja wa vita Goma, DRC

    Haaa nacheka kama Mazuri uwiii! Kabisa jenero analalamika hivyo?
  6. Shezanempress

    Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?

    Yaan naona kama muvi! Huyu msiba huyu huyu kabisa ambaye siku moja nilimuona acheza na kufurahia maisha? Huyu ambaye tulimjua kupitia chanel ten? Ndiye sasa anafilisiwa?anazo za kufilisika?
  7. Shezanempress

    Baadhi ya Mawaziri wa Rais Samia hawaelewani?

    Sijui lakn nachoamin ni kuwa mwigulu huwa hawapatani maisha,na inawezekana bifu likazidi sahiv kwasabu ashatu anaitaka sana wizara ya fedha na ndo lilikua bifu lake na wazir mkuu
  8. Shezanempress

    Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

    Nataman sana kujua kazi za interpool na kwamfano hapa tz wanakua na ofisi au? Ili waifanyie kazi nchi kama hivi africa kusini ilivyotokea manake serikal ya africa kusini imeripoti huko au?
  9. Shezanempress

    Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

    Nataman uongeze nyama zaidi! Kwahiyo huyu dem walikutana naye wap akiwa gerezan au ni demu wake wa miaka? Ujasiri wa huyu dokta unatokana na nini kwamba huyo bista alisingiziwa siyo miuaji au ni mahaba tu?
Back
Top Bottom