Recent content by Sheriff Hood

  1. Sheriff Hood

    Trigeminal Neuralgia - naombeni ufafanuzi juu ya tatizo hili la kiafya

    Asante sana Dr kwa sasa natumia dawa lakini jinsi siku zinavyokwenda naona dawa zinaanza kuwa hazisaidii natumia carbamazepine na neuro forte, naomba nishauri ni hatua gani nichukue
  2. Sheriff Hood

    Trigeminal Neuralgia - naombeni ufafanuzi juu ya tatizo hili la kiafya

    Hapana sina maumivu ya jino mkuu meno yako sawa hayaumi napata maumivu yanayokuja kwa mfumo wa kushambulia kwa sekunde chache na kuondoka.. maumivu ya jino yanauma kwa muendelezo hayaji kwa sekunde chache na kuondoka
  3. Sheriff Hood

    Trigeminal Neuralgia - naombeni ufafanuzi juu ya tatizo hili la kiafya

    Asante sana.. but naomba nisaidie kunielewesha mkuu unawezaje kupunguza vitamin A na kuongeza vitamin B?
  4. Sheriff Hood

    Trigeminal Neuralgia - naombeni ufafanuzi juu ya tatizo hili la kiafya

    Hospitali yake ndo inaitwaje na ipo sehem gani boss?
  5. Sheriff Hood

    Trigeminal Neuralgia - naombeni ufafanuzi juu ya tatizo hili la kiafya

    Wakuu nasumbuliwa na maumivu makali upande mmoja wa uso kwenye shavu karibu na sikio. Maumivu haya yanakuja kila baada ya kupita muda fulani inaweza ikawa nusu saa, lisaa au masaa kadhaa, yakija yanadumu kwa sekunde kadhaa then yanatoweka, maumivu mithili ya shoti kali ya umeme, au kama mtu...
  6. Sheriff Hood

    Sarah Simbaulanga: Mwanamke wa kwanza kuiba pesa ndefu katika historia ya benki zote nchini

    Hivi huyu mama alitoka jela mwaka gani nimemuona leo global online anasimulia mkasa wake ila bahati mbaya muandishi mwenyewe hata hamuulizi tarehe ya matukio yaani story nzima hakuna sehemu hata moja aliyotaja hata mwaka tu.. nimefurahi kukuta story yake humu kumbe kumbe ni zaidi ya miaka 30...
  7. Sheriff Hood

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Michese Dodoma

    Unatanguliza 50% then inayobaki tunakubaliana jinsi ya kulipa kwa awamu
  8. Sheriff Hood

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Michese Dodoma

    Haina shida mkuu uliza tu
  9. Sheriff Hood

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Michese Dodoma

    Viwanja vilivyopimwa vipo sokoni Eneo - MICHESE, MTAA WA TANESCO DODOMA Umbali wa km 6 kutoka katikati ya mji, km 2 kutoka barabara kuu ya singida Maji na imeme vipo Bei - Tshs 7,500 kwa Square mita 1 Vilivyopo Sqm 816 - 6,120,000/= 852 - 6,390,000 1211 - 9,082,500 881 - 6,607,500 1169-...
  10. Sheriff Hood

    Madereva waandamana kwenda LATRA wanataka Uber, Bolt wapandishe bei ya nauli

    Mafuta yameongezeka kutoka wastani wa shs 2540 mpaka kufikia 2861 ambapo ongezeko ni tshs 321 ongezeko hilo ni sawa na 13% ila sasa cha kushangaza huko mitaani wasafirishaji wanaongeza nauli kwa ongezeko la mpaka 100% mfano kuna baadhi ya maeneo ambako nauli ilikuwa ni Tshs 500 wameongeza...
  11. Sheriff Hood

    Mijadala ya Matatizo ya Magonjwa mbalimbali yaliyotolewa ufafanuzi

    Habari wataalam mimi ni mwanaume nina wasiwasi nina tatizo la uzazi maana kila nikifanya tendo na mwenza wangu then nikimaliza baada ya muda mfupi manii zinachuruzika ukeni kwake zinatoka yaani hazikai je hii ni hali ya kawaida? Maana kinachonipa wasiwasi hata nikikutana naye siku zake za hatari...
  12. Sheriff Hood

    Msaada wa kupata control number kwenye kujisajili loans board (helsb) 2021/22

    System imeanza kufunguka wakuu nimetengeneza control number mbili Hadi sasa
Back
Top Bottom