Hivi huyu mama alitoka jela mwaka gani nimemuona leo global online anasimulia mkasa wake ila bahati mbaya muandishi mwenyewe hata hamuulizi tarehe ya matukio yaani story nzima hakuna sehemu hata moja aliyotaja hata mwaka tu.. nimefurahi kukuta story yake humu kumbe kumbe ni zaidi ya miaka 30...
Viwanja vilivyopimwa vipo sokoni
Eneo - MICHESE, MTAA WA TANESCO DODOMA
Umbali wa km 6 kutoka katikati ya mji, km 2 kutoka barabara kuu ya singida
Maji na imeme vipo
Bei - Tshs 7,500 kwa Square mita 1
Vilivyopo
Sqm 816 - 6,120,000/=
852 - 6,390,000
1211 - 9,082,500
881 - 6,607,500
1169-...
Mafuta yameongezeka kutoka wastani wa shs 2540 mpaka kufikia 2861 ambapo ongezeko ni tshs 321 ongezeko hilo ni sawa na 13% ila sasa cha kushangaza huko mitaani wasafirishaji wanaongeza nauli kwa ongezeko la mpaka 100% mfano kuna baadhi ya maeneo ambako nauli ilikuwa ni Tshs 500 wameongeza...
Habari wataalam mimi ni mwanaume nina wasiwasi nina tatizo la uzazi maana kila nikifanya tendo na mwenza wangu then nikimaliza baada ya muda mfupi manii zinachuruzika ukeni kwake zinatoka yaani hazikai je hii ni hali ya kawaida? Maana kinachonipa wasiwasi hata nikikutana naye siku zake za hatari...
Hakuna ujanja mwingine wowote mkuu ni mpaka wao wenyewe warekebishe system yao ndo control number zitakubali mimi mwenyewe tangu wafungue nahangaika na control number hadi leo sijafanikiwa
Cha ajabu wamekaa kimya sijui kwanini hawarekebishi
Kama Kuna mtu ana hii riwaya inaitwa Mkimbizi iliandikwa na Hussein Tuwa (Kama sijakosea) naomba anipatie au aiweke hapa.
Niliisomaga zamani sana kwenye magazeti pendwa wakati ule yaliyokuwa yanatoka kila week
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.