Mkuu unajua nimetafuta kazi kwa miaka mingapi? Enewei,
usiposema shida zako hakuna nabii atakuja kukusaidia kuzisema kwa wengine. Na suala la kupata kazi au kukosa ni suala la wakati tu wasikate tamaa.
Salaam wakuu.
Natafuta kazi ya usiku, ikianzia saa 3 usiku mpaka sa 1 asubuhi itakua vizuri.
Nina uzoefu wa miaka 2 na nusu kwenye nyanja ya usafirishaji.
Kampuni ikiwa based Kurasini au Bandarini itakua vizuri zaidi.
Kwa nini nimechagua usiku?
Kwa sababu kazi niliyo nayo kwa sasa naingia...
Yote haya yanafanyika ili kulinda Uhuru wetu, mbarikiwe sana Jamii Forums lakini pia wabarikiwe mawakili wasomi waliojitoa kuitetea haki yetu hii inayominywa kila uchao.
Siku ya kwanza tunakaribishwa advance.. Mwalimu wa taaluma akasema .."Sisi walimu tunatoa 25%, iliyobaki 75% mkajitafutie" wale waliotoka st schools walijaza folen kuomba uhamisho.
Na wasiposhiriki wanapata nini? Tena kwa chaguzi ambazo unaweza kupinga mahakamani? Odinga uchaguzi wa mwanzo aliposhiriki ndio ukaleta ushahidi wa marudio. Huo aliosusia ataleta ushahidi gani?
Kususa bado ni wazo duni kisiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.