Yaani ccm wanajitahidi kusawazisha bao la kisigino la NYALANDU ndo maana wanahaha kila siku kuwalaghai wabunge dhaifu wa upinzani.Wakiondoka wabunge dhaifu upinzani utabaki salama nadani ya mikono ya wazalendo
WELL DONE PENEZA...hii ndio namna bora ya kumuunga mkono rais katika harakati za kupunguza matumizi ya hovyo.Kujiuzulu ubunge ni maamuzi ya mtu binafsi lakini tunaporudia uchaguzi ni kulibebesha Taifa gharama zisizo za lazima.Nawashauri wabunge wa upinzani wamuunge mkono rais hata wakiwa kwenye...
Nguo ya ndani inatunza organ sensitive kwa mwili wa mwanadamu hivyo usafi wa hali ya juu unatakiwa.Usafi wake ni pamoja na kubadili nguo ya ndani kila unapooga kwa maana kuwa unatakiwa uvae nguo iliyo kavu na safi.Wanaume wengi tumekuwa wagumu kulifanya hivi tukiamini ni tabia za kike kubadili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.