Recent content by shelumwa

  1. shelumwa

    Je, unafahamu Wanajadi!??

    Ubaya ni kwamba ukijiunga nao tu na jina unabadilishwa sijui ni Kwa nini
  2. shelumwa

    Je, unafahamu Wanajadi!??

    Ni Hekooooo bantu na Sio hello bantu
  3. shelumwa

    Je, unafahamu Wanajadi!??

    Ni hekooooo bantu ni typing error
  4. shelumwa

    Je, unafahamu Wanajadi!??

    Leo nimekutana na jambo jipya aiseee , kuna Imani sijui ni dini ya wanajadi, wanadai kuwa wao sio Waislam wala Sio wakristo Wala wapagani, nimeshuka na hapa Tanzania wapo wengi tu , sehemu zao za ibada wanaita LUBUNGA, na wanaitikia kwa kusema Hello Bantu!!? Natamani kujifunza zaidi na kama...
  5. shelumwa

    Kisayansi imekaaje mtu anapata ajali au anagonga kichwa na kupoteza kumbukumbu

    Kisayansi imekaaje mtu anapata ajali au anagonga kichwa na kupoteza kumbukumbu karibia zote ikiwepo na jina lake lakini lugha aliykua anatumia kabla ya janga Hilo hasahau. Jambo hili lina ufafanuzi gani kitaalamu?
  6. shelumwa

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Punguza uoga
  7. shelumwa

    Tatizo la damu kutoka mwenzi mzima

    Nitafute kwa namba 0767831345 nitampatia bidhaa za Stem cell therapy Double Stem cell Crystal cell Tatizo kwisha kabisa , Hilo ni tatizo la hormone imbalance inasababishwa na damage kwenye mfumo wa seli za mwili Asanteh Sent from my Redmi Note 7 Pro using JamiiForums mobile app
  8. shelumwa

    Naomba msaada wa kitabibu na kunijuza mtaalamu anaeshugulika na magonjwa ya akili 'Best Psychiatrist'

    Nitafute kwa namba 0767831345 nitampatia bidhaa za Stem cell therapy Double Stem cell Crystal cell Tatizo kwisha kabisa , Hilo ni tatizo la mfumo wa fahamu inasababishwa na damage kwenye mfumo wa seli za mwili Asanteh Sent from my Redmi Note 7 Pro using JamiiForums mobile app
  9. shelumwa

    Isabella Mwampamba, mgonjwa wa kwanza kugundulika Corona Tanzania aomba msamaha kwa Watanzania

    Nonsense kwa hiyo huyu WA dar na Zanzibar wanalink gani na huyu WA Arusha , hii kitu ilishaingia bhana wasitufanye wapuuzi kwa maigizo Yao ya kitoto kumtoa chambo mmma wa watu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. shelumwa

    Jinsi nilivyoweza kukiepuka (kukiongopea) kifo

    Umesoma lakini yawezekana jibu lipo humo
  11. shelumwa

    How I cheated death

    * HOW I COULDN'T AVOID (STOP) DEATH * Concensus efforts towards the revival of natural remedies against a number of diseases in recent times, the era of medical tourism abroad with significant financial implications would be a thing of the past. In this report, she writes about how a young...
  12. shelumwa

    Jinsi nilivyoweza kukiepuka (kukiongopea) kifo

    *JINSI NILIVYOWEZA KUKIEPUKA (KUKIONGOPEA) KIFO* Juhudi za makubaliano kuelekea uamsho wa dawa za asili dhidi ya magonjwa kadhaa katika siku za hivi karibuni, enzi ya utalii wa matibabu nje ya nchi ikiwa na maana kubwa ya kifedha ingekuwa jambo la zamani. Katika ripoti hii, anaandika juu ya...
  13. shelumwa

    Reginald Mengi kuitambulisha ‘Stem cell therapy’ Tanzania kupitia Kampuni ya Phytoscience Tanzania

    Reginald Mengi kwa kuitambu fursa ya stem cell kupitia kampuni ya Phytoscience Tanzania. Bidhaa za stem cell ni kama Actual plus+, Double stem cell, Crystal cell, Snowphyforte, 2slim, Triple 3 stem cell ambazo zinatumika kwenye mgonjwa kama Kisukari, Presha, Stroke, Pumu, Tezi dume, Ini, Figo...
  14. shelumwa

    JIBU HESABU YANGU WENGI MTAFELI HAPO

    90 Sent using Jamii Forums mobile app
  15. shelumwa

    Peniela (Story ya kijasusi)

    MONICA amepotelea hewani daaaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom