Isabella Mwampamba, mgonjwa wa kwanza kugundulika Corona Tanzania aomba msamaha kwa Watanzania

Nonsense kwa hiyo huyu WA dar na Zanzibar wanalink gani na huyu WA Arusha , hii kitu ilishaingia bhana wasitufanye wapuuzi kwa maigizo Yao ya kitoto kumtoa chambo mmma wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kaingia kwenye historia. Akiwa mjanja aitumie hiyoo fursa kupiga hela, awe muhamasishaji wa kujikinga,kuzuia, na kupambana na Corona, ata vuna hela, na lazima ajute kwanini hakupata corona mda mrefu.
Sio mtu wa njaa njaa. Wenye njaa hata passport mpya hawana
 
kwa hiyo tunaambiwa tunataharukia hewa na shule zimefungwa kwa taharuki yetu sisi wananchi au serikali nayo imetaharuki??waliweke vizuri hili la kuzuia mikusanyiko kama ni tumetaharukia bure na shule zifunguliwe.
 
Unaweza kusema ni mchongo flan umechorwa.Any way huyu mama amepata virus kweli lakini kuna mazingira flan amejaribu kugeuza hiyo kama fursa na anakaribia kufanikiwa

Ulete taharuki kama wanayosema ameleta huyu dada halafu Magufuli na serikali yake wamchekee chekee tu kama wanavyofanya sasa....weweeee!!

Nahisi kama huu mchongo nausoma vizuri....
 
Mgonjwa anageuzwa kiki ya kutokea, nchi imejaa wapumbavu hii.
Isabella Mwampamba, Mtanzania wa kwanza kugundulika kuwa na Virusi vya Corona hapa nchini, leo amezungumza na Watanzania kwa njia ya simu kupitia Mkutano wa Waandishi wa habari, na kuwaomba radhi Watanzania kwa kuwa Mtu wa kwanza kuingia na Virusi hivyo hapa nchini.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom