Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 842
- 1,743
Habarini za asubuhi wakuu
Kuna dada kaja niomba msaada akitumaini naweza msave kutokana na mama kuwa mjuzi kwenye mambo ya uzazi wa kiasili nikaona itakuwa poa kama ntashare tatizo hilo tuweze msaidia niende kwa maada
Dada aliharibikiwa ujauzito wa wiki 40 kutokana pressure kupanda na kisukari cha mimba, baada ya kama wiki 1 damu ya hedhi ilikata kabisa na maisha yakaendelea poa sasa baada ya mwezi kuisha mzunguko wa hedhi umerudi na haujaisha takribani siku 31 ameenda hospital na kupewa dawa lakini inapungua kidogo na kurudi tena
Msaada wenu unahitajika
Kuna dada kaja niomba msaada akitumaini naweza msave kutokana na mama kuwa mjuzi kwenye mambo ya uzazi wa kiasili nikaona itakuwa poa kama ntashare tatizo hilo tuweze msaidia niende kwa maada
Dada aliharibikiwa ujauzito wa wiki 40 kutokana pressure kupanda na kisukari cha mimba, baada ya kama wiki 1 damu ya hedhi ilikata kabisa na maisha yakaendelea poa sasa baada ya mwezi kuisha mzunguko wa hedhi umerudi na haujaisha takribani siku 31 ameenda hospital na kupewa dawa lakini inapungua kidogo na kurudi tena
Msaada wenu unahitajika