Recent content by Shelisheli

  1. S

    Wanaume wenye Upara ni hatari kitandani!

    Mashallah, umenipata!
  2. S

    Natoa rai: Kila anayesema ana PHD achunguzwe aliipataje

    Push up gani hizo kijungu kiko juu?
  3. S

    ONYO: Makongoro Nyerere kabla hujafa hujaumbika

    Si vizuri kutumia nguvu nyingi kujadili aliyosema komba.(Mlevi)
  4. S

    Sasa kila mtanzania mwenye akili timamu akemee haya ya CCM pamoja na Tume

    usichoelewa ninini hapo? Nirahisi kutumia mbwa kumkamata mbwa!
  5. S

    Sasa kila mtanzania mwenye akili timamu akemee haya ya CCM pamoja na Tume

    Kwa ufupi yule MZEE ni mpuuzi, sikutegemea pumba zitemwe na mtu wa umri na heshima kama yake. Badala ya kusapoti kampeni za kiungwana, yeye ndio anaazisha lugha chafu. yeye na ccm watatudanganya hadi lini eti wanapanga mikakati ya kupambana na umaskini ujinga na maradhi? miaka 50 ya kutawala...
  6. S

    Chama Cha Waalimu Tanzania (CWT): Hatutaichagua CCM

    Una hasira za kipuuzi. Watu wanaongea kupuuzwa na serikali hii ni hata kabla ya kuanzishwa CWT. Tunataka kubadili chama tawala tuachane na kupuuzwa miaka nenda rudi, wewe unahamishia lawama CWT! Hawa wazembe tumewafundisha darasani leo hii wasanii wana maana zaidi ya walimu. Kura yangu najua...
  7. S

    Siri aliyonayo Moyoni na madhara yake kwa taifa

    Hali yako ya afya haitofautiani na ya mkulu. Povu jingi na vitisho, hii nchi ni yetu sote, kwa hiyo hata sisi tuna haki ya kuchagua tumpendae. Dogo naona ulikuwa na matumaini ya kuwa mtu fulani CCM ikichukua uongozi tena ila unaona Lowasa anakutibulia.
  8. S

    Nini siri ya machale ya jambo litakalotokea?

    Kila mtu ana huo uwezo ila inabidi uendelezwe. hapo mwanadamu hua anatumia sub-concious minds, uwezo ambao wataalam wetu hawana maneno rahisi ya kuuelezea
  9. S

    Australian Water Company Quoting Prophet Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam...

    Tukumbushe pia msimamo maarufu wa aliyekuwa waziri wao mkuu juu ya Waislam
  10. S

    Nahitaji Apple cider vinagar, inauzwa wapi?

    is not real simple, upate apples mbivu uzi-ferment upate alcohol halafu ui-oxidize ndio upate vinegar!
  11. S

    Nahitaji Apple cider vinagar, inauzwa wapi?

    Mkuu hii kitu ni mbadala wa viagra, wee acha tu!
  12. S

    Ya Kandoro inatisha... Ajiuzia gari la TZS milioni 300 kwa milioni 2 tu!

    Tumelaaniwa na nani sisi wa TZ? unaibiwa mali yako kama mwananchi, comment yako ndio hiyo. Mkisikia kibaka kaiba chupa ya chai kwa jirani mnatoka na mikuki na pinde.
  13. S

    HIV breakthrough as Cuba becomes the first country in the world

    Dawa ya ngoma ni kizungumkuti, kila anapojitokeza mtu/watu wamgundua au kukaribi kupata tiba, wanapotea. hutawasikia tena. Labda dawa ipatikane north Korea au Iran ndio ambao hawawezi kunyamazishwa na mabepari wa magharibi.
Back
Top Bottom