Acha kulalamika wakati hujaweka setting vzuri,hili game ni zuri sema tu changamoto yake dalmax anaruhusiwa yeye tu kucheza faulo Ili akufunge mambo yanapokua magumu kwake😀😀
Acha kuchekacheka na wake za watu,kufikia mpaka kumkopesha pesa inaonyesha huna hofu ya hatari iliyopo mbele yako.."KENGE kusikia ni mpaka damu imtoke masikioni"
Mawinga ni kero kwenye manunuzi,itakulazimu kupata taarifa kamili ya bei ya bidhaa kabla hujainunua,bidhaa ya 20k unaanziwa 100k,nipunguzie zikiwa nyingi unaambiwa haya lete hiyo 60k,unaondoka na bidhaa kufika mtaani Wana wanakusanua kua umepigwa na hiyo bidhaa ni copy au bei halisi ni...
Usijenge ujenzi wa gharama Geita,usijenge apartment wala mradi wowote wa nyumba,vinginevyo pawe ni kwenu kiasili,yaani chimbuko la wazee na mizimu ya kwenu.
Nna uzoefu wa kuishi geita,ujenzi sio ghali sana,bajeti ya milioni 15 unajenga na kuhamia kwako nyumba ya vyumba vitatu na sebule (finishing maeneo muhimu) tofali za kuchoma,Mbao Pori na bati za uganda,waliowahi kuishi geita watanielewa,nyie wa Dar mtulie...
Kwenye M40 inabaki 25,chukua M10...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.