Recent content by sheby dunia

  1. sheby dunia

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nna mwaka sasa na bet lakin sijawai shinda Zaid ya efu4 daa had nmekata tmaa embu niambie mwenzngu ulishawai piga MSHINDO kweny kubet na sh ngap mwaka gan
  2. sheby dunia

    CAFCL: Yanga kuanzia ugenini Rwanda kwenye mzunguko wa pili

    Al Merrekh ya Sudan baada ya kutinga hatua inayofata wameamua kutumia uwanja wa Rwanda kama nyumbani kwahivyo watakutana na Yanga tarehe 15/9/23. Yanga kama atatulia anaweza fuzu kwa maana ana faida mbili. Anaanzia ugenini. Anaanza uwanja ambao sio wa Merrekh, kwahiyo Merrekh atakosa...
  3. sheby dunia

    Kwanni nafurahi Azam FC kutolewa mapema hatua za Awali za CAFCC leo?

    Hujui mpira wa miguu mzee sio kma wanaikamia Simba mpira mda mwengne kma draft una formula na formula zinaenda na mtu kwa mtu unaeza kua mzuri Sana ila formula ako usimsumbue mwenzako Simba uwa anaingia kweny copy ya Azam ndomna anamsumbua nasio kma anakamia io ni kawaida tu wew huoni gadiola...
  4. sheby dunia

    Robertinho bado hajui anatafuta nini

    Kocha wa simba kuna muda atakuja pokea lawama kutokana na kukosa uwezo wa kuusoma mchezo.ni sawa na mtu mweny nguo nying nzuri afu hajui ipi inampendeza.
  5. sheby dunia

    Wanawake hawapendi kuulizwa maswali. Fanya tu watakuona wewe ndiye dume

    Wanawake enyewe mbna wapo kmya sasa?embu tokezen mtupe ushuhuda
  6. sheby dunia

    Kuna faida yoyote Serikali inapata tukitumia VPN?

    Sio porn ni adult sites.kma hujui adult sites zinatembelewa mno na hao waserikalin kuliko hata mim nawew afu sasa sio kila anaeingia adult sites ni mzinzi adult sites ni chanzo cha kipato na adult sites sio porno tu wabongo washamb Sana mtu ukimwambia adult anajua porno tu .ila acha tu nisiongee...
  7. sheby dunia

    Kuna faida yoyote Serikali inapata tukitumia VPN?

    Nying mbona had uarabun uko HATA China nilisikiaga Kuna kipnd waliblock baadh ya social platform ko suluhu ni vpn
  8. sheby dunia

    Kuna faida yoyote Serikali inapata tukitumia VPN?

    Naomba kujua wanna tech na wachumi, hivi Kuna masilahi gani Serikali inapata raia wake tunapotumia vpn au tunaiga tu. Mna all adult sites blocked afu imekua kero kuwasha vpn, kuna muda ina disconnect yan ni usumbufu kwa hili nilikua nataka nifahamu Kuna faida yoyote wanapata tunapotumia vpn...
  9. sheby dunia

    Hizi ndo tamthilia zangu Bora kwa east africa

    Tamthilia nying kali ila nmejaribu kuchuja kwa maarifa yangu madogo kuhusu tamthilia angalia chuma kma Siri ya mtungi Kuna meng yakujifunza ndoa za mitala-mzee kizito,uzazi wa mpango-cheus,ngono zembe-duma na mengne hawa wengne tunaangalia bas tu yan ni kma movie za baadh ya mastaa movie...
  10. sheby dunia

    Hizi ndo tamthilia zangu Bora kwa east africa

    1.jumba la dhahabu[emoji1241]-Tuesday kiangala 2.siri ya mtungi[emoji1241]-watu wamarekan 3.jua kali[emoji1241]-leah lamata 4.binadamu[emoji1241]-kitale 5.game of love[emoji1241].-musa banz 6.sanura[emoji1139] 7.pete[emoji1139] 8.huba-aziz[emoji1241] 9.danga-idris sultan[emoji1241]...
  11. sheby dunia

    Huu mwimbo kaimba nani?

    "Mariano Mariano nilikua nampango mmoja ,nikaingia kwa benk nikashika risasi nikasema lala chin bas mm uyo basi mm uyo nikaubeba mzigo naendesha gari na zinanyesha kama mvu" Kma nmekosea mtanirekebsha uo mwimbo mara mwsho nolimsikia msanii wa bss akiimba 2015 sijui jina ila naupenda Sana mweny...
  12. sheby dunia

    I.T naomben jibu la wazo langu.

    Tunaenda dukan tunanunua vocha then tunajiunga bando Kisha bando twazitumia mitandaon fb google insta na kwengne ivi hakuna njia yoyote ya kunufaika kwa kupitia hizihizi bando zetu.angalia kma YouTube inavonyonya mtu anatumia gb 1 kuangalia movie afu malipo mpka matangazo Kwan hakuna transition...
  13. sheby dunia

    Ivi unaeza kua fundi na ukakosa madeni kweli?

    Daaaah ufund unameng lakn swala la maden limekua donda sugu mtu anakuletea mashne bahat mbaya inazma mikonon mwako afu ukute shida ilikua processor ukute processor yenyew built-in apo inabdi ununue bod na mteja hakuelewi
  14. sheby dunia

    Nataka kufahamu hizi payment kwa bongo znafanya kazi

    Ko sasa kwa PAXUM nafanyefanyaje mpka npata hela kwa hardcopy
Back
Top Bottom