Recent content by Shebby218

  1. S

    Wataalamu wa saikolojia: Nikitania nampiga mke wangu mtoto analia

    Aisee hii kitu nami huwa nafanya ivo ivo lakin mtot Wangu Amalia sana, yeye anamiez 11, wataalum tusaidieni
  2. S

    Siri nzito yafichuka kuhusu waraka wa Kanisa Katoliki

    Mmmmhhh!!! Wew watakaje?
  3. S

    Daa! Kweli street university kiboko,nimelizwa na matapeli wa m-pesa

    Aisee pole jamaa, kuna rafik angu alipigwa laki tank na elf kumi kwa mtindo huo huo
  4. S

    Mchungaji wa KKKT, Fred Njama ataja mambo 6 yanayoitafuna nchi

    Nackia amekamatwa na polisi
  5. S

    Rais Magufuli aeleza sababu za kutosafiri nje ya nchi

    Muulizeni mbeya au lringa ameenda mar ngap na chato, Mwanza au kanda ya ziwa ameenda Mara ngap? Ukipat jibu baki nalo
  6. S

    Naomba kujua jinsi ya ku download clips instagram

    Nenda playstoe kapakue app inaitwa lnstadownloder
  7. S

    Serikali: Kichwa cha Treni kilichopata ajali Kigoma si moja ya vilivyokutwa Bandarini Dar

    Ivi mbarawa wew ni msomi pekee tanzania unayekanusha kitu kinachofahamika?
  8. S

    CHADEMA wamlima barua Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji F. Mtungi

    Duuuuhh!! Yaan MTU unasoma hadi unajickia raha
  9. S

    Watanzania wanaomtumia matatizo yetu Mange Kimambi kwa kujificha ndiyo njia ya kuyatatua kweli?

    Kwani Mange naye ni mtanzania anapaswa ajue kinachoendelea kwenye nchi yake, wew ulitakaje labda?
  10. S

    Hivi DW ni chombo cha habari au ni chombo cha kiuwanaharakati?

    Angalieni TBC , kwan walichokosea ni nn au nan hajui odinga ni rafik Wa nanii
  11. S

    Naomba nijulishe shule za private zinazopatikana ndani ya Mbeya

    Itende, mbalizi, songwe, sangu, lvumwe, Samaritan, Southern highland, Malambughì au airport, kwa uchache, ila zipo nyingi
  12. S

    Mapenzi ya mtandaoni yanaweza kudumu?

    Mim nimedumu naye toka mwak 2013 wakat nipo chuo na saiv nimemuoa na nina mtot mmoja
  13. S

    Sikiliza Radio za Tanzania popote ulipo duniani bure

    Asanteee sana mtoa Uzi, nimefurahi sana
  14. S

    Tundu Lissu kwenda nchini Ubelgiji kwa matibabu zaidi

    Hata angeenda Norway wasenge wangesema tu, Pambana na hali yako
Back
Top Bottom