Duu umenikumbusha nilienda kutafuta shamba nikaambiwa huwezi pata bila kumuona wakala wa mkuu wa wilaya Mr Ambani sikuamini ila leo unaanza kunipa mwanga. Naamini Rc atapata ujumbe huu liwe jipu lake la kwanza kulitumbua, ama akikaa kimya tutajua naye kaingia kwenye biashara
Hili halipaswi kushabikia hata kwa sisi wanaccm kwani tunachofanya ni ubaguzi na unaweza kuleta madhara makubwa huko mbele, siasa za namna hii zinanikumbusha miaka ya 96..... Wakati wabunge wa upinzani na ccm walishindwa hata kusalimiana tunaenda huko. Wazazi wangu hawakunifunza hivyo Dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.