CHADEMA kujitowa UKAWA

CHADEMA kujitowa UKAWA

Muda wowote kuanzia sasa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kitajitowa kwenye umoja wa katiba ya wananchi Ukawa, hii imekuja baada ya chama hicho kulazimisha lazima katibu mkuu wake ateuliwe kuwa mhombea urais ata kwa nguvu japo hakubaliki kwenye umoja huo, alionielrza hayo amenambia km chaguo la umoja huo ni pr lipumba kwani anauzika sana wala hana kashfa zaid ya sifa mzuri kitaifa na kimataifa tafauti na dk salaa ambae analipwa mpaka leo mshahara km wabunge na chama chake kufidia alioocha kugombea ubunge.

Hebu tupatie taarifa za hapo dodoma mmeshaacha kupigana? Lile begi la hela nani kaondoka nalo?
 
Muda wowote kuanzia sasa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kitajitowa kwenye umoja wa katiba ya wananchi Ukawa, hii imekuja baada ya chama hicho kulazimisha lazima katibu mkuu wake ateuliwe kuwa mhombea urais ata kwa nguvu japo hakubaliki kwenye umoja huo, alionielrza hayo amenambia km chaguo la umoja huo ni pr lipumba kwani anauzika sana wala hana kashfa zaid ya sifa mzuri kitaifa na kimataifa tafauti na dk salaa ambae analipwa mpaka leo mshahara km wabunge na chama chake kufidia alioocha kugombea ubunge.
Kwa uandishi huu ibaonekana wewe mbeavkupindukia
 
Muda wowote kuanzia sasa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kitajitowa kwenye umoja wa katiba ya wananchi Ukawa, hii imekuja baada ya chama hicho kulazimisha lazima katibu mkuu wake ateuliwe kuwa mhombea urais ata kwa nguvu japo hakubaliki kwenye umoja huo, alionielrza hayo amenambia km chaguo la umoja huo ni pr lipumba kwani anauzika sana wala hana kashfa zaid ya sifa mzuri kitaifa na kimataifa tafauti na dk salaa ambae analipwa mpaka leo mshahara km wabunge na chama chake kufidia alioocha kugombea ubunge.

Kuna ugonjwa unajulikana kama kansa ya mitandaoni, ndo uliokukuta turufudume, dawa ya kuponyesha ugonjwa huu ni kuingiliwa kinyume ndo utapona
 
Huu ujinga watakuwa wameandika Akina Mwampamba kwani nimewaona pale master pub na visimu vyao wakipost.
 
Acha uzushi wewe!

Muda wowote kuanzia sasa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kitajitowa kwenye umoja wa katiba ya wananchi Ukawa, hii imekuja baada ya chama hicho kulazimisha lazima katibu mkuu wake ateuliwe kuwa mhombea urais ata kwa nguvu japo hakubaliki kwenye umoja huo, alionielrza hayo amenambia km chaguo la umoja huo ni pr lipumba kwani anauzika sana wala hana kashfa zaid ya sifa mzuri kitaifa na kimataifa tafauti na dk salaa ambae analipwa mpaka leo mshahara km wabunge na chama chake kufidia alioocha kugombea ubunge.
 
wala hana kashfa zaid ya sifa mzuri ... tafauti na dk salaa ambae analipwa mpaka leo mshahara km wabunge na chama chake kufidia alioocha kugombea ubunge.
Kumbe kulipwa mshahara kama wa wabunge ni kashafa!? Kumbe Emmanuel Okwi naye ana kashfa ya kulipwa mshahara zaidi ya wabunge!
 
Muda wowote kuanzia sasa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kitajitowa kwenye umoja wa katiba ya wananchi Ukawa, hii imekuja baada ya chama hicho kulazimisha lazima katibu mkuu wake ateuliwe kuwa mhombea urais ata kwa nguvu japo hakubaliki kwenye umoja huo, alionielrza hayo amenambia km chaguo la umoja huo ni pr lipumba kwani anauzika sana wala hana kashfa zaid ya sifa mzuri kitaifa na kimataifa tafauti na dk salaa ambae analipwa mpaka leo mshahara km wabunge na chama chake kufidia alioocha kugombea ubunge.

Naona mmemaliza "mahoka" yenu sasa mmerudi kwenye kujambajamba humu

Fore the past few weeks, hakuna tulichosikia toka kwa wagombea wa CCM zaidi ya lowassa, lowassa, fisadi, kesi, and other cr@ps

I think you should go and get a life
 
AMESHAKATWA naona team ya mamvi mmeshachangakiwa kabisa hizi habari ni za kupuuzwa
 
Mshakatana kwenye lichama lenu sasa unatuletea mikosi nyumba ya jirani.........
 
huyo aliyeleta mada mpuuzi tu aende akamuone mamvi dodoma amsaidie kumalizia kuwachagua wenzake kuingia tatu bora. huyo anaota mchana
 
Hizi ndio siasa za TZ na tutasikia na kuona mengi hadi uchaguzi huu uishe, mi yangu macho na masikio
 
Hapo ukawa jinatu watu bado wana umungumtu wao wa cdm wanataka waupeleke na ukawa ni uzezeta
 
hivi ni PR lipumba,au ni prof lipumba??
this shows how ulivyo pimbi wa shallow wa kutunga habari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom