Nimekutana na kijana mmoja hapa Rafiki yangu, akaanza kunisimulia matatizo yake na Mimi nikaamua bila hiyana nije hapa kwenu kumwombea ushauri.
Anasema ana umri wa karibia 30, hajaoa ila kwa nyakati tofauti amekuwa na mahusiano na wanawake wanne tofauti ananiambia kati ya hao wote hakuwahi...
Nimesikitika sana na thread aliyoiandika mh. Kigwangala mmoja ya wabunge ambaye naamini kama angeingia kwenye tasnia ya muzic na hasa taarabu angefanya vizuri zaidi.
Nimesema hivyo baada ya kumfuatilia wakati anachangia kwenye muswada wa marekebisho sheria ya katiba mh. kigwangala alitumia muda...
Mhe. Magufuli amesema bungeni muda mfupi uliopita, maamuzi magumu si muhimu yanaweza kutolewa hata na vibaka, bali viongozi watoe maamuzi makini.
Ikumbukwe kuwa muasisi wa neno "MAAMUZI MAGUMU" Ni mh. Edward Lowassa ambaye kwa nyakati tofauti amekuwa akiitaka Serikali ifanye Maamuzi magumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.