nakuunga mkono asilimia mia, mifanyakazi haitulii ofisini kutwa kwenye ishue binafsi watabuni saa ngapi mambo mapya, stori ofisini ndo code of ethics zao. lakini pia wanatakiwa kufahamu mishahara haiwezi kuringana kati ya kada moja hadi nyingine. tuwe wabunifu sio kutaka tu mishahara mikubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.