Maana Ya Dini Umepuyanga Mjomba.
Dini Ni mfumo au utaratibu mzima wa Maisha Ya mwanadamu.
Hapa Ni Kuishi Kwa Kufuata misingi ya imani na Maadili ktk Kila Kona Ya Maisha.
Siasa Ni usimamizi wa Mambo ya Kijamii mfano... Elimu, maji, Umeme, Barabara, Ulinzi, Maendeleo NK.
Hivo basi Siasa Imo ndani...
Msingi wa Uhai ni Uhai wenyewe, kama Ilivyo msingi wa Binadamu ni Binadamu Mwenyew... Mungu ni Dhana Ya Kibinadamu Ktk Kutafuta Msingi wa Kila Kitu Ktk Ulimwengu Huu. Lkn Hakuna Kitu kinaitwa Mungu kana Kwamba Kiko Pekee. Iko Kitu hakipo. Isipokuwa Binadamu ni Kila Kitu Katika Ulimwengu Huu, Ni...
Ni kijnywaji kipwa Kama heading ilivosema
Waungwana Hiki kinywaji ukitembelea sehem zile za vijiwe vya Kahawa unanikuta Ni Kichungu mithili ya Shubiri. Kwa anaekifaham asili yake ni wapi na kinafaida gani na Athari gani Mwilini maana Ni kichungu sanaaaa.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.