Hiki kinywaji nimeacha kunywa miongoni mwa sababu zilizopelekea niache kutumia kinywaji hiki,ilikuwa kila nikinywa teve siku ya pili yake au ya tatu nakojoa mara kwa mara tena mkojo mwingi sana. Mpaka wakati mwingine ngozi inasinyaa kutokana na kupunguza maji mengi mwilini.Ni kijnywaji kipwa Kama heading ilivosema
Waungwana Hiki kinywaji ukitembelea sehem zile za vijiwe vya Kahawa unanikuta Ni Kichungu mithili ya Shubiri. Kwa anaekifaham asili yake ni wapi na kinafaida gani na Athari gani Mwilini maana Ni kichungu sanaaaa.....
Hii kitu mie wa kahawa kila siku pale kwa mjomba mjomba nilipewa hii kitu ni chungu kuliko alovera na vidonge vya chloroqeen.Ni kijnywaji kipwa Kama heading ilivosema
Waungwana Hiki kinywaji ukitembelea sehem zile za vijiwe vya Kahawa unanikuta Ni Kichungu mithili ya Shubiri. Kwa anaekifaham asili yake ni wapi na kinafaida gani na Athari gani Mwilini maana Ni kichungu sanaaaa.....
Bia ndio namba moja una ogopa kufa umekuja kulinda duniaKuharibu figo na vitu vichungu kisa nini, alafu figo zina feli baadae tena kwasababu ya kikombe cha mia mbili tunakuja kuchangishana ndugu millions of money Za matibabu... Maji ndio kinywaji bora kuliko vyote
Kila mtu na mtazamo wake mkuu,pambana na ukipendachoBia ndio namba moja una ogopa kufa umekuja kulinda dunia
Kiwango kikubwa Cha caffeine kina stimulate dehydration ,unapaswa kunywa maji mengi!Hiki kinywaji nimeacha kunywa miongoni mwa sababu zilizopelekea niache kutumia kinywaji hiki,ilikuwa kila nikinywa teve siku ya pili yake au ya tatu nakojoa mara kwa mara tena mkojo mwingi sana. Mpaka wakati mwingine ngozi inasinyaa kutokana na kupunguza maji mengi mwilini.