Recent content by share

  1. share

    Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

    Ngoja apige chabo mkeo akioga.
  2. share

    Bwawa la Mwalimu Nyerere lafikia MITA 185 ujazo, lajaa mpaka kikomo

    Na mtambo huo Namba 9 una hitilafu. Wakati wowote utazimwa.
  3. share

    Katoliki na KKKT yawakataa Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia Uchaguzi, sasa inasubiriwa BAKWATA

    Chezea Katoliki nini. Hilo ndiyo ingini ya Dunia.
  4. share

    MTWARA: Rais Samia afukuza kazi kuanzia RAS, DC, DED mpaka DAS. Awaonya wateule wanaofanya kazi kwa mazoea,kushindwa kuwasikiliza na kuwajali Wananchi

    Saa 100, toto tundu lako Chalamila nalo bado halijakua. Dar hapamtoshi. Lifukuze.
  5. share

    Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa bandari ya Samaki Kilwa

    Kwani DP WORLD ameshaombwa ruhusa na kuridhia?
  6. share

    Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

    Mzigo ulikamatwa na kurudishwa Benki Kuu kutumia yake malori ya kijivu yakisindikizwa na Land cruiser 2, moja mbele na moja nyuma.
  7. share

    DOKEZO Waziri Mchengerwa, nenda Nasibugani Sekondari Mkuranga, shule haina umeme, maji, madawati, walimu, vitanda wala barabara nzuri

    Mchengerwa ana kifua kipana kumkumbatia binti Saa 100. Hilo la Mkuranga Seko lisubiri mkwe amalizane na mjomba DP world faraghani
Back
Top Bottom