Hana uwezo binafsi kiakili. Navishangaa vyuo vikuu vinavyompa PhD hata kama ni za heshima. Hastahili. Rejea MATOKEO yake ya Form 4. Ni aibu mtu aliyepata Division 4 yenye points zinazokaribia kupata Division 0 eti anakuwa Rais wa nchi na kuzawadiwa PhDs za heshima kibao!!! Hebu tuwe serious...
Ibiwa halafu nenda uwaone kama watakusaidia! Kuibiwa kwako ni mtaji kwao. Lazima wakunyonyoe kwanza ndio wawajibike. Tena siku hizi wanadai hongo hadharani kabisa bila kificho!. Hawana maadili ya kazi kabisa. Wewe ni mgeni bongo hii? Au ni mmoja wao? Bongolala wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.