Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Current visitors
Verified members
Jamii Check
Stories of Change
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
Start Discussion
Staff Online
Fichua Uovu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Members Only
Stories of Change
JamiiCheck
Fichua Uovu
Members
share
Recent content by share
Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana
Ngoja apige chabo mkeo akioga.
share
Post #114
Mar 14, 2024
Forum:
Jukwaa la Ujenzi na Makazi
Mwigulu Nchemba-Out of touch. Anasema hakuna wizi serikalini, Rais ampa mfano wa mtandao wa wizi Mbeya
Mwizi anawajua wezi wenzake ila kamwe hawataji
share
Post #56
Mar 14, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Bwawa la Mwalimu Nyerere lafikia MITA 185 ujazo, lajaa mpaka kikomo
Na mtambo huo Namba 9 una hitilafu. Wakati wowote utazimwa.
share
Post #35
Mar 14, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke
0713 mwiko.
share
Post #186
Mar 13, 2024
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
Rais Samia: Tumekopa Sana ndani ya hii miaka 3 kwa ajili ya Huduma za Jamii sasa tunaenda kupunguza Ukopaji kwa miaka hii 2!
Kwani Job Ndugai anasemaje?
share
Post #36
Mar 13, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
Katoliki na KKKT yawakataa Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia Uchaguzi, sasa inasubiriwa BAKWATA
Chezea Katoliki nini. Hilo ndiyo ingini ya Dunia.
share
Post #13
Jan 9, 2024
Forum:
Jukwaa la Siasa
MTWARA: Rais Samia afukuza kazi kuanzia RAS, DC, DED mpaka DAS. Awaonya wateule wanaofanya kazi kwa mazoea,kushindwa kuwasikiliza na kuwajali Wananchi
Saa 100, toto tundu lako Chalamila nalo bado halijakua. Dar hapamtoshi. Lifukuze.
share
Post #70
Sep 23, 2023
Forum:
Jukwaa la Siasa
Mahakama Kuu yatoa uamuzi - Rais hakuvunja katiba kuongeza muda wa Jaji Prof. Juma kuendelea kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania
Kesi ya ngedere kapewa nyani kuhukumu.
share
Post #14
Sep 23, 2023
Forum:
Jukwaa la Siasa
Kesi ya Vicky Kamata imetufumbua macho, kumbe Dkt. Likwelile alikuwa akimiliki mali za bilioni 4
TASAF kaiba ngapi?
share
Post #17
Sep 23, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Waziri Mchengerwa: Uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa hakuna Kijiji kitakwenda Upinzani pia Uchaguzi mkuu wa 2025 kura zote kwa Rais Samia Suluhu
Mchengerwa anafikiri kwa matako.
share
Post #108
Sep 23, 2023
Forum:
Jukwaa la Siasa
Taasisi dhaifu ni kitisho kwa usalama wa nchi. Kwa hali ilivo, TANESCO ni hatari namba moja kwa usalama wa Tanzania, na serikali bado imelala fofofo!
Uchambuzi ulioenda shule. Asante kwa madini bora ya kiakili pevu.
share
Post #15
Sep 23, 2023
Forum:
Jukwaa la Siasa
Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa bandari ya Samaki Kilwa
Kwani DP WORLD ameshaombwa ruhusa na kuridhia?
share
Post #6
Sep 20, 2023
Forum:
Jukwaa la Siasa
Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki
Mzigo ulikamatwa na kurudishwa Benki Kuu kutumia yake malori ya kijivu yakisindikizwa na Land cruiser 2, moja mbele na moja nyuma.
share
Post #636
Sep 20, 2023
Forum:
Jukwaa la Siasa
DOKEZO
Waziri Mchengerwa, nenda Nasibugani Sekondari Mkuranga, shule haina umeme, maji, madawati, walimu, vitanda wala barabara nzuri
Mchengerwa ana kifua kipana kumkumbatia binti Saa 100. Hilo la Mkuranga Seko lisubiri mkwe amalizane na mjomba DP world faraghani
share
Post #5
Sep 20, 2023
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Wakenya wakimbilia Tanzania kununua Petrol na Diesel wadai bei ni nafuu sana ukilinganisha na kwao!
Hoja bila takwimu ni uzwazwa.
share
Post #18
Sep 20, 2023
Forum:
Jukwaa la Siasa
Members
share
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back