Nilidhani hii shida ni ya hivi karibuni kumbe tangu Feb 2025 hawa jamaa hawarekebisha app yao? Mm nimefanya mwamala kwenye Mpesa with ile TIPS, ikaniambia transaction successful manake na risiti imetoa. Lakini hela mpk leo haijafika. Sijui kwa nini maana siwezi hata angalia statment as nimelipa...
Nadhani kwenye hizi kesi tunatakiwa kuunganisha nguvu kama taifa (irrespective ya vyama etc) ili tuweke mambo sawa. Ili linawezekana tu kama tutaacha ubinafsi.
Thank you. This is well put (umeiweka vizuri sana) hata mm kuna jinsi sikuwa nimeeleza hizo kesi mbili now i understand. Ndio maana watu wengi wanawatukana mahakimu na majaji lakini ulivyo elezea ni kuwa hatujui sheria vizuri. Na pengine sheria zinahitaji kupitiwa vizuri ili hata mtuhumiwa wa...
Hii kitu ya Mpina ni Ndefu sana, nimetumia akili Mnemba kupata summary:
Idadi ya Tani za Gap Sugar: Waziri alidai kuwa nchi ilikuwa na gap ya tani 60,000 mwaka 2022/2023, lakini Mpina alisema ukweli ni kwamba gap ilikuwa tani 30,000 na si tani 60,000.
Uingizaji wa Sukari: Waziri alisema hakuna...
Mbona mm hiyo rate siioni hapa?
Treasury Bonds Issuance Calendar For The Financial Year 2023/24
by SOLOMON
On behalf of the Government of the United Republic of Tanzania (URT), the Bank of Tanzania plans to issue 2-year, 5-year, 7-year, 10-year, 15-year, 20-year, and 25-year Treasury bonds...
Sometimes kuna saa naona hata bunge lenyewe kukaa kaa the way wanakaa naona wastege of time na hela. Hasa zama hizi za ki digitali nadhani something better could be done. Wanapoteza muda tu. Baadhi hata wanayochangia unaona ovyo tu.
Her husband is still being held captive, of course she won't say anything bad about Hamas!! Same for the Americans released who still have family members being held.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.