Procedure km camera zilizimwa,the one held accountable kwanza Ni superuser au IT guy wa tawi...na ni km hakutoa taarifa in writing kwa manager na kumkopi branch controller...na km controller na Manager walikua na taarifa na hawakuzifanyia kazi....basi iyo mimba ya camera wataibeba as possible...
Aisee tisha sana hii,wengi wanakubali kimyakimya....dizaini kama kuponda sina flani ya mziki...ila ukipigwa unatikisa kichwa ivi huku ukinata na biti!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.