Recent content by SHANTA

  1. SHANTA

    Wangapi humu tunaijua hii?

    Saliva shoo utawajua tu
  2. SHANTA

    Meneja wa CRDB ashirikiana na majambazi wizi wa benki Chanika

    Procedure km camera zilizimwa,the one held accountable kwanza Ni superuser au IT guy wa tawi...na ni km hakutoa taarifa in writing kwa manager na kumkopi branch controller...na km controller na Manager walikua na taarifa na hawakuzifanyia kazi....basi iyo mimba ya camera wataibeba as possible...
  3. SHANTA

    GE2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

    You are still young...wait until you grow up... You will then understand our wise elders.
  4. SHANTA

    GE2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

    Thank you Mr JM ...its now time to handle some serious business
  5. SHANTA

    Wanachama wa CHADEMA Ludewa wachoma kadi na kuhamia ACT-Wazalendo

    Hawa ndio watu 500? Kazi ipo... Kipenga ndio kishapulizwa tena
  6. SHANTA

    Mwananchi 12/08/2015

    Aisee tisha sana hii,wengi wanakubali kimyakimya....dizaini kama kuponda sina flani ya mziki...ila ukipigwa unatikisa kichwa ivi huku ukinata na biti!!
  7. SHANTA

    Taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kumsindikiza Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais

    Basi nimekuelewa bwa mdogo,sheria ya ndoa za jinsia moja bongo hatuzitaki...km nataka kuolewa nenda kajaribu kwa jirani zetu apo Kenya.
  8. SHANTA

    Taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kumsindikiza Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais

    Sina shaka weee ni mtaalam was lugha,karibu unisahihishe
  9. SHANTA

    Taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kumsindikiza Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais

    Ukawa wafanyiwa fitina na Kova,apo VP?
  10. SHANTA

    Wizi wa matela CRDB

    Andika izo namba ukiwa unaweka 5m
  11. SHANTA

    WanaArusha mtaendelea kufa mkiwa vijana, hii ndio sababu

    Karibu chuga mangi,kama haisomi amsha fasta,huku njeree tu bab
  12. SHANTA

    Mungu wa Wachaga avunjwa

    Upendo yupo Denmark siku miingi,so alikuwa mtangazaji kwenye TV station moja ivi hapo mafurikoni(Dar)
Back
Top Bottom