Recent content by Shanny

  1. Shanny

    Kiwanja kinauzwa - Kiharaka; Bagamoyo karibu na Ndoto Pole au Azania Front Church project

    Habari wana jukwaa.. Kuna kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya Kiharaka Bagamoyo, ni baada ya Bunju au Mbweni. Ni eneo endelevu kwa sasa lenye Umeme tayari na mchakato wa majo ya DAWASCO. Kinaukubwa wa 27*25, bei ni 5M tuu. Maelewano yapo. Inahitajika pesa ya haraka. Tuwasiliane kwa namba 0754712461...
  2. Shanny

    Sinagogi hili la Siloam Ministries

    hii story imenoga sababu ya majina.
  3. Shanny

    Wanawake mwafa na makalio fake

    And you realy pay attention to them? Follow your instinct and appriciate yourself.....
  4. Shanny

    Wanaume wa Marekani mna nini?

    Tatizo haliko kwa wanaume wa U.S.A but perception ya ladies and not only in Tz.
  5. Shanny

    Hivi ni kweli wanawake uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo kulinganisha na wanaume?

    Btw pia inategemea anapowapatia, kujua aina ya watu anaowataka, anatumia vigezo gani anapowaona. Inaezakua anatumia vigezo tofauti na vya mwanamke anaye mtaka which hatafika anapopataka. Means justisfy the end...... Wanawake hao wapi wengi sana tuu......
  6. Shanny

    Surching

    Huyu jamaa kaamua tu kuzingua leo. Anajua anachofanya. Hahaaaa. Huezi andika hivyo lazima ujishtukie aiseeee.
  7. Shanny

    Surching

    Nimecheka mpaka basiiii. Kweli hii ni stress free zone. Daah!
  8. Shanny

    Kabila la wanyakyusa

    Kangi bhakutulonda nkamu. Tukughanile kumyitu po fiki fikubhabhabha...... bhatuleke mweeee.
  9. Shanny

    Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

    Ya pili ni kweli. Lakini ukijua visababishi vya hayo maumivu ndio utaelewa vizuri kwa nini inatumika. Solution nyingine nzuri zaidi ni exercises.
  10. Shanny

    Good husband is hard to find nowdays

    hahaaaa Kwa hiyo Viol na watu8 nyie mwataka thread za kuwasema wadada tuuuu. hahaaaaaa!
Back
Top Bottom