Hata wewe uliyonayo unajua hayo magari ni used na ni ya mwaka gani? Wabongo bhana umejiona unajuaaa na uko na wakati balaa. [emoji3474][emoji706] ukute ni msomi kama waliotuambia kinyesi kinaua samaki[emoji1664]
Kama ni mchepuko unasema haya:
1.wife amejua aisee ametishia kuondoka na wanangu na ntachanganyikiwa akiondoka nao[emoji26]
2. Nna mambo mengi nataka kutuliza akili ili niyafanye kwa ufanisi [emoji848]
3. Kazi zimenizidia nahisi napoteza focus hivi itabidi niwe makini sana nahitaji muda mwingi...
Kitenge na wenzie wana sura nyingi alafu uelewa hawana...issue kubwa ya so called journoz wa nchi hii uelewa sifuri kelele mingi.
Kasome kwanza alafu uje na mada yenye maana sio huu upuusi ulioandika
Kuwa emotional ni kawaida nimeona na kusikia wazazi wakilia kwenye harusi za binti zao labda kuwaza so jamaa atakuwa anamfilimba binti yake same na yeye alivyomfilimba mamake....anasahau dogo alishafumuliwa bikra akiwa form 2 labda maana pale umri ndio umetaradadi au house girl na mama mdogo...
Ukimaliza kutoa povu lako la kutokujielewa na uelewa finyu kwenye intra country trading issues kalale. Rubbish
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Nafikiri kabla ya katiba mpya tungepata kuainisha hizo maslahi za taifa kwanza maana hazijulikani huwa tunaishia tu kusema "kwa maslahi ya taifa" je ni ardhi dhahabu tanzanite usalama wa nchi au?
Yaani kuwe na kitu kinacho julikana ukisema maslahi ya taifa hata dogo wa kayumba std 5 na zile fm...
Nashauri CHADEMA waitumie hela hiyo kujenga kitu cha kutumika na uma, mfano zahanati kama 2 au 3 zitumike kwa manufaa ya wananchi maana hata wachangiaji walikuwa wananchi. SIASA NI MAENDELEO
Bora, ukiangalia foleni zinazosababishwa na magari mengi mjini ni mabovu hayana road worthiness so bora kuyaondoa magari mabovu barabarani kwa usalama wetu. Kudos
Watanzania tuna shida kubwa sana, kwani kulikuwa na ulazima gani kuandika hivi? Subiri magazeti yatakuandikia kiswahili
Tujifunze kuwa kiswahili sio lugha ya kila mahali na sio rafiki ya kila mtu ukiwamo wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.