Kila mmoja na fikra zake usitujumuishe. Wewe unataka katiba mpya, tume huru, mm sitaki kwasasababu sijaona shida na katiba mliyopo, mtaniambiaje nifanye siasa!?.
Waliopo sijaona kosa lao kwanini nijihusishe!?.
Kufata amri ya waliopo madarakani haimaanishi huwezi kuikwepa siasa, unakwepa siasa...