"kuhakiki kama loan officers walipeleka taarifa bodi ya mikopo" . Taarifa zipi tena mkuu? form za maombi zilishapelekwa bodi muda mrefu sana, bodi ikatoa majina ya waombaji walio kosea baadhi ya vipengele, wahusika wakaenda bodi kurekebisha taarifa zao. Sasa hizo taarifa nyigine ni zipi?
Napenda kuwa kumbusha na kuwaomba HESLB kuwa mnapoendelea kufanya hiyo kazi yenu nzuri ya ku allocate mikopo kwa first year MSITUSAHAU NASI CONTINUING STUDENTS kwani nasi pia tuliwasilisha maombi ya mkopo kama wengine. Mungu awabariki! (continuing wote mlioomba plz coment hapa ili tukumbukwe)
Zitto amekusudia kugombea tena ktk jimbo la kigoma mjini licha ya ahadi zake hapo nyuma kuwa hatagombea tena ktk nafasi hiyo. Wakati huo huo aliyekuwa mb.wa kigoma mjini Peter Selukamba tayari kachukua fomu ccm kugombea ubunge jimbo la kigoma kaskazini aliloliongoza Zitto kwa miaka 10. Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.