Mpe kitu kama kataka mwenyewe coz sisi wanawake wa sasa uaminifu 0%. Saa nyingine unakuta mumewe mzee au wengine wana sukari hivyo jogoo hawiki sasa hamu apeleke wapi.
Na wewe ushakula mzigo hapa watafuta kuhalalisha tu.
Niseme ni mpangilio mbaya tu wa route na gari kuwajibika kuwapitia watoto weeengi. Nilimpeleka mtoto shule hiyo nikijua sinza na mikocheni ni karibu hivyo hataamka mapema matokeo anachukuliwa saa 12 kamili na anazunguka kwenye gari mpaka 1.30 ndio anafika shule. Na mashimo ya sinza basi ni...
Nipeleke malalamiko mara ngapi ndio nije kuandika hapa. Malalamiko kwa maandishi na mdomo wala si mara moja. Hapa ni just ku share na wazazi wenzangu na wewe si lazima uchangie
Kwanza, mabasi ya wanafunzi ya shule hii ni mabovu kiasi cha kushangaza kiasi cha kutishia usalama wa watoto wetu.
Pili, Wanafunzi wanajaa sana kwenye mabasi kinyume na sheria za usalama barabarani ilhali wote wamelipa hela sawa ya usafiri. Pata picha mtoto mdogo wa darasa la kwanza au pili...
Another problem ni transport mwe! migari mibovu mara nyingi watoto huchelewa kurudi. Chelewa kulipa ada wewe, mtoto anarudishwa home first day no discussion
Opportunist, Mimi binafsi nimesha piga simu weeeeee, nimeandika msg weeeeee, nimekwenda shule na kusema weeeeee ila hakuna bailiko. Last time mtoto aliibiwa swimming costume inaingia akilini hiyo. mwee!
Duh! nilijua matatizo haya ni kwangu tu kumbe wengi. Inaelekea shule kuna kitu haifanyi. Ingekuwa serious kukemea kila siku kwa watoto na kuwaathibu watoto vibaka na wanaopiga wenzao tatizo lingeisha ila shule kama vile haijali iko kifedha zaidi. Mwanangu anaibiwa na kubondwa mpaka akaomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.