Recent content by SHAMWARI

  1. S

    Rais Kikwete amteua Amos Makala na Rugimbana kuwa wakuu wa mikoa

    Mayor huchaguliwa na madiwani kiongozi. subiri kidogo uteuzi wako tukimaliza uchaguzi hapo Oktoba 25.
  2. S

    I salute you Mbowe

    Absolutely. He has worked hard to ensure politics are debated on the same level .
  3. S

    Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

    Hata Gujima Ana roho ya nyama sio ya chuma.
  4. S

    Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

    Haha hahaha. Za usoni. Humu jamii forum Kuna burudani Sana. Majibu yote yako.
  5. S

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Tusiingie karne ya 21 na ubaguzi Kwa kubambikiana maneno mdomoni.
  6. S

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Fake and propaganda of Tanzania politics. Hajaanza siasa Mwaka. michango kama mtu mwingine ametoa,.
  7. S

    CCM Wazungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Udini wa Lowassa na CHADEMA

    Hii kali. Tumefika huko. Nani mkweli na mtunahamisha kwenye ilani..
  8. S

    CCM Wazungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Udini wa Lowassa na CHADEMA

    . Hii kali. Asante Kwa maono. Tuwe na makini na wanasiasa
  9. S

    Lowassa: Sina Muda wa kujibu matusi na kejeli

    Mwaka huu tutasikia mengi. Watanzania wajiandae kupiga kura na wapate viongozi wanaowataka. Kampeni za kugawa watu sio sahihi.
  10. S

    Yaliyojiri uwanja wa Tangamano, Tanga: Mkutano wa Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli

    Tumsamehe tu mgombea aliteleza, ulimi hauna mfupa. Ushauri Kwa tume na vyombo vinavyosimamia uchaguzi, Mshindi halali na atangazwe ili watanzania waionyeshe Dunia ukomavu wa kisiasa.
  11. S

    CCM kinajitangaza utadhani ni chama kipya

    Mhuu. Hii inaonyesha wazi kabisa kuwa demokrasia imekomaa
  12. S

    Mnyika, Tundu Lisu, Lema, Wenje mmeamua kula matapishi?

    Kunywa na kulamba Matapishi ndio dawa ya kumaliza sumu iliyoenea ndani ya mfumo wa utengenezaji maisha bora ya mtanzania.
  13. S

    Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

    Siamini siasa za kutuhumiana. haziwajengi watanzania kuwa wa moja. Dola ipo na inaacha tuhuma za Richmond kuwa ndio agenda. Tunasahaulishwa na madudu ya ESCROW, EPA na mengi. Waseme hoja sio historia ya kuonyeshana vidole Kwa maslahi binafsi. Watuhumiwa wote wa ufisadi wapelekwe kwenye...
Back
Top Bottom