Recent content by shamsengi

  1. S

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    cdm tulizeni bongo, kumbukeni ndugu wakigombana ww shika jembe ukalime. watani wenu wanachekelea mafarakano yenu!
  2. S

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    :-* Kanisani na Misikitini tunapofundishwa kwa kutumi vitabu vitakatifu vinatufunza na kutuasa.....lakini bungeni ni mahala p kutetea ukweli na sio kukubaliana na kila kiti cha kipuuzi. bpra kufa na fikra zinazoishi kuliko kushi na fikra zilizokufa kama Mwigulu. kila anapoamka bungeni anachafua...
  3. S

    Mwigulu nchemba: Nemeuza vx v8 yangu kununua motor za maji (jamaa kweli tatizo)

    porojo hizo jamani,sisi tupo huku hatuna maji ankokutaja mwanduigembe mpaka kesho hakuna kitu kama hicho.labda aliuza kwenda kwa nyumba ndogo.
  4. S

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Hata wahujumu, bado chadema wataibuka wababe,tumechoka na ufisadi
  5. S

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    hata ccm wahujumu,mwendo mdundo.tumechoka na ufisadi.Japo taifa linafilisika kwa uchaguzi kila kukicha.na ccm wanatumia pesa nyingi mno.
  6. S

    Huku ni Kujikweza au Ushamba?

    kaka mtoto wa mkuliuma sijui analima nyama kwake?haina shida sana tunachohitaji ni mabadiliko...watu tubadilike
  7. S

    pongezi za viongozi wa CCM juu ya ushindi wa Nasari

    chadema hatuna utani na ccm,na bado dawa yenu watanzania tunaipika.salamu kwa mwigulu.....anayezima moto kwa jirani huku kwake kunaungua
Back
Top Bottom