Napenda tuanze na swali hili ili tuweze kujenga msingi wa
kile tunacho taka kukiongelea hapa.Mara nyingi mahusiano na mapenzi yanakua mazuri sana mwanzoni,
Lakini baada ya mda flani,mahausiano hayo hayo yanageuka na kua kama shubiri baina ya wawili walio kua
wanapendana sana hapo...
Miongoni mwa vitu hatari pia kwenye mahusiano ni pamoja na hili la usiri wa kupitiliza. Kama una vitu moyoni na upo kwenye mapenzi/mahusiano bora kabisa si vizuri kuvificha na hasa vile vinavyohusiana na mapenzi yenu moja kwa moja. Ni kweli kuna vingine huwezi kumwambia kwa sababu havina...
Kama nchi inahitaji wataalamu wa lugha ya kiingereza basi msisitizo uwekwe kwenye kiingereza lakini kama nchi inahitaji wataalamu wenye ujuzi juu ya fani na taaluma mbalimbali zenye tija kwa taifa katika kuleta maendeleo basi tuache siasa na tufundishe wataalamu wetu kwa lugha wanayoielewa...
'Fanya kazi yako kwa furaha'. Hata kama ni mfagia barabara fagia kwa kiwango cha juu mpaka kufikia tuzo la mfagiaji bora nchini, africa na hata ulimwengu mzima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.