Habari. Naomba kujua garama na utaratibu wa kutangaza kwenye gazeti kupotea hati ya ardhi.
1. Muda inayotakiwa kutangaza.
2. Garama na gazeti gani kutangaza.
3. Mawasiliano yao
Msaada. Kama unataka kuangalia namba Zote za mitandao Zote zilizosajiliwa na Nida yangu nafanyaje. Km MTU kasajili na halotel na Nida yangu Mimi Sina halotel laini kuhakiki nitajuaje?
Nataka mbuzi 100 dume wa kilo 20+ wa miaka 2 na juu.... nipo teyari kuja mkoani... km unayo inbox na picha kwenye what's app tufanye biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.